PostGE2025 Masheikh mko wapi? Kuna tamko la nchi za Ulaya, inatakiwa mkawajibu

PostGE2025 Masheikh mko wapi? Kuna tamko la nchi za Ulaya, inatakiwa mkawajibu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,026
Reaction score
2,106
Balozi 17 kwa pamoja zaitaka Tanzania kuachia wafungwa wa kisiasa, kusitisha utekaji na kurudisha miili ya waliouawa

Pia soma > PostGE2025 - Balozi 17 kwa pamoja zaitaka Tanzania kuachia wafungwa wa kisiasa, kusitisha utekaji na kurudisha miili ya waliouawa
191206.jpg
 
Mbaya zaidi hata TEC haijawahi kulitaja balaza lolote la kioslamu zaidi ya kukemea yale watanzania wanayoyapitia sasa hivi. Hawa jamaa sijui wamelishwa nini, uwelewa wao kweli ni mdogo.
Wanajua sana wanachokifanya. Wao wanalipwa na kuendeshwa na remote ya familia fulani. Wanajua mno mno kuwa hawako sahihi, ila ndio karata iliyobaki ya limama na familia yake na washirika wake.
 
Back
Top Bottom