Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Shida ya maji imeanza Leo ?

Chimbeni visima acheni kulalamika
Hata wewe unaongea mambo ya ajabu hivi?
Tatizo nini, dini?
Kila mtu Dar ana uwezo na nafasi ya kuchimba kisima cha maji safi na salama?
Visima vinachimbwa hovyo tu bila kibali cha mamlaka husika?
Unajua gharama ya kuchimba kisima Dar au mahali popote mikoani?
 
Afadhali umeanzisha hii mada nikueleze kitu pengine na wengine wasio waislam walikuwa hawajui
Kutawadha ni kweli maji yanahitajika ila kuna alternative inaitwa kutayamam yaani badala ya kutumia maji unatumia mchanga kuna utaratibu wake.
Elewa Uarabuni jangwani kati hakuna maji kabisa labda ubahatishe Oasis ambayo unaweza ikuta baada ya kutembea kilomita labda 200 sasa hili MUNGU alilijua ndio utaratibu wa mchanga ukawepo.
 
Kule bwawa la mwl Nyerere kwani wameyachepushaje maji mkuu?
au haiwezekani pia kuchimba visima vikaelekezwa kwenye mabomba yanayo-supply maji kwenye majiji kwa kuyasukuma na pump!
Ngojea tuwachie wahandisi wetu
Tanzania ulivyo pang'ang'a,uchimbe visima kukidhi mahitaji ya dar?.. ndiyo maana jk alimuachia magu amalize mradi wa bwawa la kidunda morogoro,Ili lihudumie Moro,dar na pwani,karukaruka tu
 
Wanasema mbona hata wakati wa Mkapa na Maghu shida ya maji ulikwepo.!?.
So mkilalamika itakuwa mnauchukia tu Uislam.
Mnatakiwa kukaa kimya maana hili ni jambo la kawaida kabisa.
 
Masheikh hawataki haki ya kupata maji, huduma ya maji si haki yao ,wanaona ni msaada

Wamechagua amani ya bila maji
 
Back
Top Bottom