Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Wanafiki sana mafundisho ya Mtume yamenyooka sana ,lakini huwezi sikia wakiyasimamia kwa apa
Acha uzwazwa kutumia maandiko ya Kiislamu baadhi kwa manufaa binafsi .

Kama Uislamu unakataza kuongozwa na Mwanamke au kufamfanya Mwanamke kiongozi je vipi kuhusu kuongozwa na wasio kuwa Waislamu ni ruhusa ?

Kama ukitaka tutumie maandiko kumkataa kiongozi Mwanamke je , vipi kuhusu mifumo ya Kidemokrasia ambao nadhani hata Bible haurusu ?

Demokrasia inaruhusu ushoga , kamari na yote ambayo mwanadamu anaona swa na watakayoafikiana kwa matakwa Yao hata ikiwa ninuovu na ushenzi je demokrasia nayo ni ruksa ?

Tukimtoa Mwanamke kwa sababu za kidini Kisha atakayeingia atatuongoza kwa misingi ya Mungu ya wazinzi kupigwa , no music , no alcohol etc ?

Tunakubali dini haitaki kumpa Mwanamke utawala je , akishakuwa sasa mtawala dini inaelekezaje ?
 
Kwahiyo unajisifia kuwa na shida ya maji?
Tatizo la miaka 64 mnatumia kama nyenzo ya propaganda kumuangushia mtu mmoja unaona sawa ?

Shida sio kusema Kuna shida ya maji bali jinsi watu wanavyokuza na kulitumia Hilo tatizo kinyume na uadilifu kana kwamba miaka yote kabla ya hapo hatukuwanalo hili ni geni.
 
Tatizo la miaka 64 mnatumia kama nyenzo ya propaganda kumuangushia mtu mmoja unaona sawa ?

Shida sio kusema Kuna shida ya maji bali jinsi watu wanavyokuza na kulitumia Hilo tatizo kinyume na uadilifu kana kwamba miaka yote kabla ya hapo hatukuwanalo hili ni geni.
Wewe unaona ni sawa kuwa shida na shida ya maji miaka 64 baada ya Uhuru? CCM imetawala kipindi chote hicho cha miaka 64 bila mbadala. Wameanza babu zao,wakaja baba zao na mama zao,sasa ni wajukuu zao na ndugu zao.ni wale wale hawawezi kukwepa kuwajibika.
 
Tanzania 20;25 inasema tafuteni kuwa na aman nchini na maji sio lazima
Kwan maana kila aombaye maji ametumwa na mabeberu
 
Ila maji changamoto sana,,asubui tu ishakatika Elfu Tano kwajili ya maji,Tena ya kisima yasio na Radha aisee
Sa100 mitano tena uwongo?

Wengine walifika mbali wakasema “mama hatuna deni na wewe”,na ushukuru angalao wewe unajiweza kununua maji ya 5K.
 
Sa100 mitano tena uwongo?

Wengine walifika mbali wakasema “mama hatuna deni na wewe”,na ushukuru angalao wewe unajiweza kununua maji ya 5K.
Si kwamba najiweza mkuu, familia na unakuta mnataka kufua,

Hii changamoto ilitakiwa itatuliwe tangu Nyerere, magufuli,mkapa,
Wa sasa ilitakiwa afanye umaliziaji tu....hivi kwa mfano msimu mzima wa mvua za masika maji asilimia kubwa ya MTO Ruvu yanaenda baharini, kiasi kidogo tu ndio tunakivuna kwa matumizi yetu,

Sasa kunashindikana nini labda kukatengenezwa bwawa kubwa tukawa tunayavuna yakasaidia kipindi cha kiangazi
 
Back
Top Bottom