Dini zililetwa kwa viumbe wenye akili siyo vichaa unajua kwa nini ? Wewe unashindwa kutumia akili .... nimesha kuonyesha sana na nikakuambia kasome upya injili zote kwa kuzingatia fafanuzi yangu ....ndiyo maana yesu anasema alikuwako kabla ya Ibrahimu na hata yohana mbatizaji anamshuhudia yesu kuwa 👉 ajaye nyuma yangu ni mkubwa kuliko mimi kwa maana alikuwako kabla yangu .....yohana mbatizaji kimwili alizaliwa miezi 6 mbele ya Yesu ....soma injili yote inathibitisha haya ninayo fundisha ambayo hata wakristo wa makanisani awayajui bali wanadanganywa na mitume feki kama mlivyo danganywa nyinyi na muhammad ambaye alikuwa hajui hata NENO MTUME NI NINI ?