Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Aliyefanya vurugu ni aliyeiba uchaguzi, kuteka na kuuwa watu
Ndiyo nikamuuliza huyo,wapo watu waliandamana wakidai maji hakuna?

Tumsubiri tuone jibu lake labda atajua ameteleza kumbukumbu zimemtoka.
 
Waislamu wanaweza kuwa na changamoto zao Ila kwa dar sahivi misikiti yao inasaidia wananchi kupata Maji .

Hilo nawapa hongera.

Then waisilamu sio kwamba ni vilaza Ila kuna Vilaza nao ni waisilamu .
Ninaishi Dar sijajua bado namna ya kufanya nisaidike na maji ya msikiti na mimi,ukiweza nipe codes taratibu z kufata.

So far ninachojua jana jioni nimeagiza maji na canter dumu mbili za 1,000litres kwa 30K,mtihani sana hasa nyumba ikiwa na watoto wadogo.
 
Ninaishi Dar sijajua bado namna ya kufanya nisaidike na maji ya msikiti na mimi,ukiweza nipe codes taratibu z kufata.

So far ninachojua jana jioni nimeagiza maji na canter dumu mbili za 1,000litres kwa 30K,mtihani sana hasa nyumba ikiwa na watoto wadogo.
Upo wilaya IPI ?
 
Tumekubaliana hizo picha !i EIAI...
Tusichoshane.
 
Mtu mwenye shule kubwa anaweza kuabudu sanamu ?View attachment 3515095

Mtu mwenye shule kubwa anaweza kuabudu sanamu ?View attachment 3515095

1000390272.jpg

Hawa je
1000396723.jpg
 
Pole Sana Temeke ndo maji bure misikitini japo baadhi yana chumvi na mengine hayana

Na Kama una watoto changamoto Sana kiukweli. Pale Wailes karibu anapoishi baba Manala na kwingineko Maji wanatoa bure
Unataka tufate maji misikitini mtukate vichwa!?
 
Pole Sana Temeke ndo maji bure misikitini japo baadhi yana chumvi na mengine hayana

Na Kama una watoto changamoto Sana kiukweli. Pale Wailes karibu anapoishi baba Manala na kwingineko Maji wanatoa bure
Unataka tufate maji misikitini mtukate vichwa!?
 
Bora amani na utulivu kuliko kuwa na maji. Maji ya nini ukiwa na amani
 
Back
Top Bottom