Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Na kwa nini Yesu awe na mwili wakati yeye ni Mungu
Allah mnamuita Mungu nanyi eenh? Ana mikono,Ana Nyashi akikalia Harshi dawa, Ana mguu mmoja, hana roho Sanamu hahahaha. Mungu wetu ni Holly according to Quran na Asiye na Dhambi ni Mungu tu pekee. Allah ana midhambi kibao as per Quran alishatuhumiwa na Iblisi kwa kumsingizia na kumpa adhabu ya Malaika wakati yeye si Malaika. So Only Jesus anashika tittle ya Mungu, Allah hata kuumba hajui zaidi ya kujidai tu hana ushahidi na anavyodai kaummba eti ''kumfaya kun'' alipoelezea ndio kaonesha muongo eti Kamuumba Yesu sawa sawa na alivyomuumba Adam, hata mtoto wa leo anajua ni uongo, Alah hajui hata binadamu kaumbwa na nini
 
Kwa hiyo Mungu ana nafsi ya binadamu na ya Mungu
Hapana nafsi ya mungu ni mungu na nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu ....wewe ukimcha mungu kikamilifu mungu huja na kukaa ndani yako, kitendo cha nafsi ya mungu kukaa ndani ya mchamungu wa kweli ndiyo kinaitwa kujaa Roho mtakatifu.....
 
Hapana nafsi ya mungu ni mungu na nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu ....wewe ukimcha mungu kikamilifu mungu huja na kukaa ndani yako, kitendo cha nafsi ya mungu kukaa mdani ya mchamungu wa kweli ndiyo kinaitwa kujaa Roho mtakatifu.....
Mbona unajichanganya unasema Yesu ana nafsi mbili ya binadamu na ya Mungu na ghafla unasema nafsi ya Mungu ni Mungu na nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu
 
Mbona unajichanganya unasema Yesu ana nafsi mbili ya binadamu na ya Mungu na ghafla unasema nafsi ya Mungu ni Mungu na nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu
Sikusema hivyo ...nafsi mbili ni kama wewe uingiwe na jini moja hapo huo mwili wako unakuwa na nafsi mbili yani nafsi yako na nafsi ya jini (nafsi mbili ndani ya mwili mmoja )
.....hivyo hivyo kwa wacha mungu kumpokea Roho Mtakatifu ni kuingiwa na nafsi ya mungu ndani ya mwili ndiyo inakuwa ni nafsi ya huyo mtu na nafsi ya mungu ndani ya mwili mmoja ..siyo mungu ana nafsi mbili
 
Huwezi kumuita Mtume Muhammad (pbuh) kuwa ni Muddy boy...Halafu kuna ushahidi wa kutosha wa haya niliyoyaandika kuhusu Lwiva

View attachment 3515116
Mbona unamletea kibess Huyo Lwiza?

Mudy mmtamuita nyie msioujua uislam Pbuh, Mudy ni adui wa ulimwengu aliishi maisha ya kihuni,Kijinga,Wizi hadi chupi ya wizi yaani wameiba chupi na genge lake kisha akawaibia wenzake, kujitetea akasema Allah kasema Mtume haibi hahahaQuran 3:161 allah hakujua aliyeiba,Uasherati,Uongo,Uzushi na utaperi. Ushahidi ni Quran na Hadithi mmnazomuadithia nyie waislam.

Wewe usieujua uislam umedanganywa ila nadhani humjui huyo taperi. kama unataka ushahidi naweza kukuwekea wote alafu Ungekuwa Muislam ungenyamaza tu maana waislam hawana uwezo wa kumtetea Mudy even Yeye mwenyewe kwenye hadithi ndani ya Quran kasema hajui Allah atamuweka wapi akifa Quran 46:9
قُلْ مَا كُنْتُ بِدْعًا مِنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُبِينٌ
a_9.png


Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

Hapo kwenye Wahyi kaongopa kwani alitokewa na Jibril tu hakuwahi Ongea na Allah kwa Njia yeyote ndio uongo wake kila alichokuwa akiongea.

Usimtishie mtu akimdharau Mtume wenu kwani Mudy alitangaza auadui na wasio waislam na aliwatesa sana Wakristo na Wayahudi na aliwatukana mno. alifikia kusema ukikutana na Mkristo au Myahudi msukumie mtaroi wala usimsalimie.
: Sahih Muslim 2167a
Book 39, Hadith 16
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الْعَزِيزِ، - يَعْنِي الدَّرَاوَرْدِيَّ - عَنْ سُهَيْلٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ لاَ تَبْدَءُوا الْيَهُودَ وَلاَ النَّصَارَى بِالسَّلاَمِ فَإِذَا لَقِيتُمْ أَحَدَهُمْ فِي طَرِيقٍ فَاضْطَرُّوهُ إِلَى أَضْيَقِهِ ‏"‏ ‏.

'Abd al-'Aziz - maana yake al-Darwardi - kutoka kwa Suhayl, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Hurayrah, kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Msianzishe salamu pamoja na Mayahudi au Wakristo. Ukikutana na mmoja wao njiani basi mlazimishe kwenye sehemu yake iliyo finyu."
 
Je Roho mtakatifu ni Mungu au sio Mungu?
Na je ana nafsi ngapi?
ROHO MTAKATIFU NI KITENDO CHA NAFSI YA MUNGU KUWA NDANI YA MCHAMUNGU ....HIVYO ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU (MAANA YAKE NI MUNGU YULE YULE
 
Kwa hiyo roho iliyomtoka yesu msalabani ndiyo roho mtakatifu maana Yesu si Mungu na roho mtakatifu si ndo roho ya Mungu
Ndiyo hivyo, ila ikiwa ndani ya mwili wa Yesu jina lake ni Roho(nafsi) ya Mungu ila inapokuwa ndani ya mwanadamu mwenye nafsi ya binadamu inaitwa roho mtakatifu...ni kama Omary akiwa ana endesha gari anaitwa dereva na akiwa ana endesha ndege anaitwa Rubani ila ni yeye huyo huyo OMARY siyo nafsi 2 wala 3 ni nafsi hiyo hiyo moja 1 ... kasome injili upya utaona kwa nini Yesu aliongea mambo mnayo dhani yana pingana kumbe yame nyoka ...Yesu asemapo mwana wa mungu ajui siku ya kiama ila baba ni fumbo aliwafumba wanafunzi wake wakaacha kumuuliza hiyo siku wakidhani maana yake, naye hajui hiyo siku kumbe maana yake MWILI (MWANA) BABA(NAFSI) MAANA YAKE ANAJUA NA ZAIDI YA KUJUA YEYE NDIYE ALIYE YAWEKA HAYO KWA KUWA NI MUNGU ...
1)NDIYO MAANA YESU ANASEMA YEYE ATARUDI KUHUKUMU ULIMWENGU...
2)NDIYO MAANA YESU ANAWAAMBIA WANAFUNZI WAKE KUWA ANAKWENDA MBINGUNI KUWAANDALIA MAKAZI KISHA ATATUDI TENA KUWA CHUKUA ...HAYA MANENO SIYO YA MTU MTUME BALI NI MUNGU TU AWEZAYE KUTAMKA ...NDIYO MAANA WAYAHUDI WALISHANGAA MAFUNDISHO NA MIUJIZA YA YESU ALIKUWA ANAFANYA KAMA MTU MWENYE MAMLAKA ...KASOME YESU ANAMWAMBIA MTU NIMEKUSAMEHE DHAMBI JE ROHO (NAFSI) YA BINADAMU INAYO MAMLAKA YA KUMSAMEE MTU DHAMBI ? ....DHAMBI NI KUMKOSEA MUNGU HIVYO NI MUNGU PEKEE ANAYE SAMEHE DHAMBI.
 
Yesu alisema wapi kuwa anajua siku ya kiama wakati alisema hajui au wewe ulijuaje kama anajua ila anawafumbia
Alisema mwana hajui ila baba yaani mwili wake haujui ila nafsi yake ....Yesu asemapo mwana umaanisha ule mwili wake na asemapo baba umaanisha nafsi yake ....soma fafanuzi nilizo kupa nyuma .. wewe unashida ya kuunganisha logic ...nimekufafanulia vizuri huko nyuma kuwa neno Yesu ni mambo mawili
1)Mwili(yaani mwana)
na
2)Nafsi(yaani baba)
SASA YESU ANASEMA .. 👉👉MWANA HAJUI ILA BABA.
 
Amani amani jamani,amani ni bora kuliko hayo maji,nyie mnataka maji ! Mmekuwa kambale?
 
Alisema mwana hajui ila baba yaani mwili wake haujui ila nafsi yake ....Yesu asemapo mwana umaanisha ule mwili wake na asemapo baba umaanisha nafsi yake ....soma fafanuzi nilizo kupa nyuma .. wewe unashida ya kuunganisha logic ...nimekufafanulia vizuri huko nyuma kuwa neno Yesu ni mambo mawili
1)Mwili(yaani mwana)
na
2)Nafsi(yaani baba)
SASA YESU ANASEMA .. 👉👉MWANA HAJUI ILA BABA.
Tatizo lako unatumia maneno yako bila ushahidi wa maandiko wapi waliposema kuwa Yesu asemapo mwana anamaanisha mwili na akisema baba anamaanisha nafsi yake
Na kama baba ni roho na mwana ni mwili na roho mtakatifu tuseme ni nini?
 
Mada inaongelalea kuhusu Mashehe na Maji:
Wanaoshindwa hoja wanaongelea mambo ya Udini:
Shame on you:
 
Swali la chekechea 👶👶👶 neno binadamu ni mambo mawili
1)Mwili
na
2)Nafsi

HIVYO TAMBUA TUNAPO SEMA YESU NI MUNGU MAANA YAKE NI ILE NAFSI SIYO ULE MWILI ...

Neno Yesu ni mambo mawili
1)Mwili na
2)Nafsi

MWILI
Hivyo mwili wa Yesu ndiyo una majina haya
A)Mwana
B)Mwana wa Adamu
C)Mwana wa Mungu

NAFSI
Nafsi ya Yesu ndiyo ina majina haya
A)Mungu
B)Baba
C)Mfalme
D)Roho Mtakatifu.

Usikiapo haya majina ma 4 tambua hapo hautajwi ule mwili bali hapo inatajwa NAFSI YA YESU AMBAYO NDIYO MUNGU ..
Ndiyo maana kilicho kufa msalabani ni mwana wa Mungu siyo Mungu (nafsi) nafsi ya mungu ilitoka hi hai ndani ya mwili wa Yesu msalabani..ndiyo maana Yesu anamwambia yule mtu waliye sulibiwa naye kuwa 👉LEO HII UTAKUWA PAMOJA NAMI PEMA PEPONI ....SASA YESU ALIYE KUFA NA KUFUFUKA SIKU YA TATU NI YUPI ? NA HUYU ALIYE KUWA PEPONI SIKU ILE ILE NI YUPI ? 🤔 TUMIA AKILI ..Mwili ndiyo uliokufa ...je ulikufaje ? Nafsi ya Mungu ilitoka ndani ya mwili wa Yesu na kuuacha mwili bila ya nafsi na huko ndiyo kufa kwa (mwana wa adamu ) au kufa kwa mwana wa Mungu)

SOMO
JE Mungu(Baba) na Yesu na Roho Mtakatifu ni nini?
1)BABA
2)MWANA
3)ROHO MTAKATIFU.
JE UTATU MTAKATIFU UPO ? JIBU NDIYO UTATU UPO ILA SiYO UTATU WA NAFSI 3 ZA MUNGU KWA SABABU MUNGU NI MMOJA NA NAFSI YAKE NI MOJA
Sasa nakuja tena kufafanua utatu wa kweli ni nini ?
1)Baba ni Nafsi ya Mungu mwenyezi
2)Yesu ni mwili wa mwanadamu usio na nafsi ya mwanadamu bali wenya nafsi ya Mungu mwenyewe.
3)Roho mtakatifu ni kitendo cha mwili wa mwanadamu wenye nafsi ya mwanadamu na nafsi ya Mungu Mwenyezi. (Yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja.

Al-mukheef adriz Bwana Utam Mufti kuku The Infinity Malaria 2 THE BIG SHOW Covax Jagina ngara23
Ni wapi Yesu alikwambia nilipotawazishwa mavi nilikuwa ni mwili na nilipokamatwa na kijana aliyekuwa uchi pale kwenye vichaka vya Gesthemane nilikuwa nafsi , au hayo ni mafundisho ya Nabii wako Tito?
 
Back
Top Bottom