Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Masheikh huko wanasemaje kuhusu shida ya maji?

Ndiyo mafundisho ya Nabii wako Tito?
Sikuizi yale maswali yenu ya kit9to mliyo kuwa mnauliza mbona mmeyakimbia 😁😁😁😁 arafu mkiulizwa nyinyi mnakimbia nyuzi ..


MIMI SIYO MKRISTO WALA SIENDAGI KANISANI WALA MSIKITINI ILA NAKILI KUWA ..... YESU NDIYE MUNGU WA IBRAHIM MUNGU WA ISAKA MUNGU WA YAKOBO MUNGU WA ADAM NA HAWA.
 
Mashehe wanashindwa hata kutawaza wakitoka kunya kisa hakuna maji ila wanaona sawa tu kutembea na mimavi yao kwenye makanzu yao
 
Sikuizi yale maswali yenu ya kit9to mliyo kuwa mnauliza mbona mmeyakimbia 😁😁😁😁 arafu mkiulizwa nyinyi mnakimbia nyuzi ..


MIMI SIYO MKRISTO WALA SIENDAGI KANISANI WALA MSIKITINI ILA NAKILI KUWA ..... YESU NDIYE MUNGU WA IBRAHIM MUNGU WA ISAKA MUNGU WA YAKOBO MUNGU WA ADAM NA HAWA.

mungu huyo ndiye yule aliyekamatwa alfajiri kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane akiwa na teenager wa kiume akiwa uchi huku chupi kaiweka begani ??
 
Tufanye makisio ....kama yesu ndiye Mungu je Muhammad ni nani ?

Yesu kwani aliwahi kutawazishwa mavi na kuvishwa pampers?? Hivi alikuwa akinya mavi ya mungu ??mungu anakamatwa na kijana wa kiume alfajiri vichakani , huku kijana yuko uchi na chupi kaweka begani ??Akimfanya kitu gani yule kijana alfajiri vichakani ??
 
mungu huyo ndiye yule aliyekamatwa alfajiri kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane akiwa na teenager wa kiume akiwa uchi huku chupi kaiweka begani ??
Yale maswali yenu mliyokuwa mnauliza kwa kujipiga kifua kabisa yapo wapi sikuizi kimya ?😁😁😁😁😁😁 kuna muislamu mmoja alikuja na swali hapa JF KUWA 👉TUMJIBU JE YESU ALIWAHI KUINGIA KWENYE NYUMBA YA IBADA INAYO ITWA KANISA? ili swali uzi ulitembea balaa hadi nilipo kuja mimi na jibu moja tu mleta swali hakuthubutu hata kuhoji na uzi ukafa kibudu .... adriz Malaria 2 Mufti kuku The Infinity Jagina Al-mukheef FaizaFoxy THE BIG SHOW Bwana Utam 😁
 
Yale maswali yenu mliyokuwa mnauliza kwa kujipiga kifua kabisa yapo wapi sikuizi kimya ?😁😁😁😁😁😁 kuna muislamu mmoja alikuja na swali hapa JF KUWA 👉TUMJIBU JE YESU ALIWAHI KUINGIA KWENYE NYUMBA YA IBADA INAYO ITWA KANISA? ili swali uzi ulitembea balaa hadi nilipo kuja mimi na jibu moja tu mleta swali hakuthubutu hata kuhoji na uzi ukafa kibudu .... adriz Malaria 2 Mufti kuku The Infinity Jagina Al-mukheef FaizaFoxy THE BIG SHOW Bwana Utam 😁
Sasa jibu hili swali
mungu huyo ndiye yule aliyekamatwa alfajiri kwenye vichaka vya bustani ya Gesthemane akiwa na teenager wa kiume akiwa uchi huku chupi kaiweka begani ??
 
Yesu kwani aliwahi kutawazishwa mavi na kuvishwa pampers?? Hivi alikuwa akinya mavi ya mungu ??mungu anakamatwa na kijana wa kiume alfajiri vichakani , huku kijana yuko uchi na chupi kaweka begani ??Akimfanya kitu gani yule kijana alfajiri vichakani ??
Swali la chekechea 👶👶👶 neno binadamu ni mambo mawili
1)Mwili
na
2)Nafsi

HIVYO TAMBUA TUNAPO SEMA YESU NI MUNGU MAANA YAKE NI ILE NAFSI SIYO ULE MWILI ...

Neno Yesu ni mambo mawili
1)Mwili na
2)Nafsi

MWILI
Hivyo mwili wa Yesu ndiyo una majina haya
A)Mwana
B)Mwana wa Adamu
C)Mwana wa Mungu

NAFSI
Nafsi ya Yesu ndiyo ina majina haya
A)Mungu
B)Baba
C)Mfalme
D)Roho Mtakatifu.

Usikiapo haya majina ma 4 tambua hapo hautajwi ule mwili bali hapo inatajwa NAFSI YA YESU AMBAYO NDIYO MUNGU ..
Ndiyo maana kilicho kufa msalabani ni mwana wa Mungu siyo Mungu (nafsi) nafsi ya mungu ilitoka hi hai ndani ya mwili wa Yesu msalabani..ndiyo maana Yesu anamwambia yule mtu waliye sulibiwa naye kuwa 👉LEO HII UTAKUWA PAMOJA NAMI PEMA PEPONI ....SASA YESU ALIYE KUFA NA KUFUFUKA SIKU YA TATU NI YUPI ? NA HUYU ALIYE KUWA PEPONI SIKU ILE ILE NI YUPI ? 🤔 TUMIA AKILI ..Mwili ndiyo uliokufa ...je ulikufaje ? Nafsi ya Mungu ilitoka ndani ya mwili wa Yesu na kuuacha mwili bila ya nafsi na huko ndiyo kufa kwa (mwana wa adamu ) au kufa kwa mwana wa Mungu)

SOMO
JE Mungu(Baba) na Yesu na Roho Mtakatifu ni nini?
1)BABA
2)MWANA
3)ROHO MTAKATIFU.
JE UTATU MTAKATIFU UPO ? JIBU NDIYO UTATU UPO ILA SiYO UTATU WA NAFSI 3 ZA MUNGU KWA SABABU MUNGU NI MMOJA NA NAFSI YAKE NI MOJA
Sasa nakuja tena kufafanua utatu wa kweli ni nini ?
1)Baba ni Nafsi ya Mungu mwenyezi
2)Yesu ni mwili wa mwanadamu usio na nafsi ya mwanadamu bali wenya nafsi ya Mungu mwenyewe.
3)Roho mtakatifu ni kitendo cha mwili wa mwanadamu wenye nafsi ya mwanadamu na nafsi ya Mungu Mwenyezi. (Yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja.

Al-mukheef adriz Bwana Utam Mufti kuku The Infinity Malaria 2 THE BIG SHOW Covax Jagina ngara23
 
Hata wewe unaongea mambo ya ajabu hivi?
Tatizo nini, dini?
Kila mtu Dar ana uwezo na nafasi ya kuchimba kisima cha maji safi na salama?
Visima vinachimbwa hovyo tu bila kibali cha mamlaka husika?
Unajua gharama ya kuchimba kisima Dar au mahali popote mikoani?
Kwani Dar CCM haipo? Hujasikia kuhusu "Kazi na Utu?"
 
Na kwa nini Yesu awe na mwili wakati yeye ni Mungu
Hata Roho Mtakatifu ni Mungu na ana mwili wa binadamu wenye nafsi ya mwanadamu (nafsi mbili ndani ya mwili mmoja) hivyo mungu kutwaa mwili ni kawaida ..
Ndiyo maana imeandikwa kuwa mitume na manabii wote walikuwa na 👉ROHO WA KRISTO maana yake mitume huwa na roho ya mungu ndani yao isipokuwa muhuni mmoja tu aliye jihita mtukufu wa daraja ..huyo tu alikuwa ana roho ya JINI NDANI YAKE NDIYO ILIYO KUWA INAMUONGOZA ....
 


Wapi huko wanakosema Mungu alikuja duniani jinsi ya binadamu
Nilisha kupa msingi wa Injili ya kweli kasome upya injili zote kwenye biblia kwa kutumia fafanuzi nilizo kupa ...wewe unadhani kwanini injili zote zinamtaja Yesu kuwa ni mfalme? Je Yesu aliwai kuwa mfalme popote duniani alipo kuwa anaishi?

BASI KWA NINI ANAITWA MFALME ? hata siku ya kuzaliwa kwake malaika waliwatokea wachungaji na kuwa ambia kuwa AMEZALIWA MFALME..ndiyo kisa cha Helode kutaka kumuua Yesu kilipo anzia toka utotoni ...na hata kwenye kesi ya Yesu ...mashitaka yake yalikuwa ni hayo ya kujidai ni mfalme ....kasome namna Yesu alipo ulizwa swali na Pilato je wewe ni mfalme? Yesu akajibu kuwa ufalme wake siyo wa dunia hii ....maana yake ni mfalme MBINGUNI na nilikutajia majina yanayo mtambulisha Yesu kwa upande wa Nafsi ...moja wapo ni ili la mfalme kwa kuwa nafsi yake ni Mungu ambayo ndiyo mfalme
 
Back
Top Bottom