mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Sie mashabiki wa Mali hatuna hofu nyie mashabiki wa stars mnakumbuka nini mkiiona hii picha?
Amsha amsha ilikuwepo full mzukaStars ya Maximo ilipata mafanikio gani?
Amsha amsha ndio mafanikio?Umeulizwa Stars ya Maximo ilikuwa na mafanikio gani?Aisha amsha ilikuwepo full mzuka
HahahahahaAmsha amsha ndio mafanikio?Umeulizwa Stars ya Maximo ilikuwa na mafanikio gani?
Zaidi ya kushiriki CHAN sidhani kama kuna kingine..Stars ya Maximo ilipata mafanikio gani?
Jamaa hakuwa tu kocha bora bali mhamasishaji bora kabisaStars ya Maximo ilipata mafanikio gani?
Kim yupi sasa Kim poulsen au Babu KimStars ya maximo na ya Kim 2013/14 ni stars Bora zaidi tangu 2000
Janja janjaJamaa hakuwa tu kocha bora bali mhamasishaji bora kabisa
Mpira ni burudani na sio msibaAmsha amsha ndio mafanikio?Umeulizwa Stars ya Maximo ilikuwa na mafanikio gani?
Basi tuunde timu za burudani na hamasa na zilete furaha.Mpira ni burudani na sio msiba
Mpira ni furaha na Maximo alileta furah
Mpira ni hamasa na jamaa aliweza sana tu
Star ile ilikua star ya hamasa sio ya mpiraStars ya maximo na ya Kim 2013/14 ni stars Bora zaidi tangu 2000
Aliwaleta Mmoja mpwa wake mwingine mkwewe sawa na Robertinho na yule Kipa au Mlete mzungu na yule kocha wake 5imba.Nikimuona Maximo namkumbuka Jaja na Coutinho pale Yanga
Nyie ndiyo mnaoamini mchezaji mzuri ni yule anayekimbia Sana na mipiraStar ile ilikua star ya hamasa sio ya mpira
Poulsen,ile ilimtia Morocco 3 kwa mkapa,ng'ado kwa ng'ado na ivory coast ya Yaya toure,timu inacheza hata ikifungwa unafurahiKim yupi sasa Kim poulsen au Babu Kim
Kim poulsenPoulsen,ile ilimtia Morocco 3 kwa mkapa,ng'ado kwa ng'ado na ivory coast ya Yaya toure,timu inacheza hata ikifungwa unafurahi
Kuliko Stars ya Jan Poulsen iliyotwaa kombe la CECAFA ?Stars ya maximo na ya Kim 2013/14 ni stars Bora zaidi tangu 2000