Shida ya vazi ipo kwenye aina ya urembo uliowekwa (its a masonic sign of scul bandana) ndio Maana mleta maada anahoji aina ya kanisa alilotoka, je no Masonic church or Jesus church!Nimekuwa na mashaka na aina ya suti uliyovaa. Napenda kujua ni kanisa gani ulilotoka kuabudu?
Hata hivyo kwa jibu lolote, najua hakuna jipya chini ya jua.
View attachment 1260760
Siku zote watu wa chini hatuamini juhudi za mtu aliyetuzidi mkwanja.....ukweli ndo huo lazima yaliyojificha tuyahisi ila hatuna uhakika nayo, wala hatuyajui ni yepiKuna kitu kimejificha nyuma ya "KUUZA MCHELE HEWA" na "UCHUNGAJI WA MWENDOKASI."
Vazi rasmi ni lipi?Nimekuwa na mashaka na aina ya suti uliyovaa. Napenda kujua ni kanisa gani ulilotoka kuabudu?
Hata hivyo kwa jibu lolote, najua hakuna jipya chini ya jua.
View attachment 1260760
Nilihisi nimemuona pekee,Jamaa anaushamba wa kuamini kuwa marekani ni everything basi wabena wenzake wanamuona yuko juu,unless awe anaingiza hela huko
Wasiwasi ndio akili.kwahiyo unamtilia mashaka sio?
Kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia kamwe usidadaike na uvionavyo,ona shamim zeze alivyokuwa ana hamasisha wanawake wenzake waanze na mitaji ya elfu 10 kama yeye,kumbe nyuma ya pazia ni muuza ngada mkubwa.Siku zote watu wa chini hatuamini juhudi za mtu aliyetuzidi mkwanja.....ukweli ndo huo lazima yaliyojificha tuyahisi ila hatuna uhakika nayo, wala hatuyajui ni yepi
Bonke anashida gani, nijuze mkuuAsije akawa Kama wakina Reginard Bonke
Dini ni moja ya biashara inayohitaji mudomo, na mudomo zaidi .. huku ukiwa unataja Mungu, yesu , wokovu, mbingu na vitu kama.hivyoNimekuwa na mashaka na aina ya suti uliyovaa. Napenda kujua ni kanisa gani ulilotoka kuabudu?
Hata hivyo kwa jibu lolote, najua hakuna jipya chini ya jua.
Umenikumbusha mambo mengi kumtaja huyo Bonke.
Ata wauza ngada walianza na mitaji midogo ukiachana na wale wenye mkwanja wa kurithi, kuuza ngada si mchezo ule mtaji wakeKuna mambo mengi sana nyuma ya pazia kamwe usidadaike na uvionavyo,ona shamim zeze alivyokuwa ana hamasisha wanawake wenzake waanze na mitaji ya elfu 10 kama yeye,kumbe nyuma ya pazia ni muuza ngada mkubwa.