Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,083
- 13,299
Tumpe muda wa miaka mitano mingine?Hakuna Marefu Yasiyo Na Ncha
Tumpe muda wa miaka mitano mingine?Hakuna Marefu Yasiyo Na Ncha
Reinhard Bonnke bila shakaAsije akawa Kama wakina Reginard Bonke
Siku si nyingi utasikia na yeye amekuwa mchungaji!
Anaanzisha kanisa lake, na Mara paaap!waumini kibao!!
Mipesa hiyoooo!!
Harafu kijana darasa LA saba tu!!kama Mond lakini mipesa kibaoooo!wasomi tunafeli wapi?!!! Si bora utoke na digree yako ya uhandisi,harafu ukajifunze ukomedy kama masanja au joti!!
Lakini haya ni maisha unaweza ukawa na ukomedy wako, ukaishia kama Bambo!!!!
Ahhhhh ni utani tu!
Tutakuja Kwenye Thread Hii Kuifukua Kama Kaburi VileTumpe muda wa miaka mitano mingine?
Hakuna mashine inayotumika sasa yenye mionzi ya ki atomic ni kinyume na sheria za atomic kumpiga x-ray binadamu mwili mzima airport. Kama hujasafiri kaa kimya.Hakuna mashine ya kuona unga tumboni???
Acha kupotosha kama hujui kitu nyamaza
Exactly...
Okay sawa muswada umeipitishwa. Turudi hapa 2025Tutakuja Kwenye Thread Hii Kuifukua Kama Kaburi Vile
Wewe ni Mbweha kabisa hizo machine alizinunua kwa uchungaji kabla hajaanza kulima? Kilimo 50/50 mzee usilete kilimo chako cha facebook na instagram kupiga picha na mshine za mpunga ndio ukajua ni kilimo.
Mkuu sibishi kwamba jamaa halimi huko ubaruku,mie nazungumzia hayo mafanikio yake kununua BMW X6 yanatokana na kilimo tu kisa amepiga picha ameonyesha mashine za kuvuna mpunga.....Ingekuwa kilimo kina output hizo hakuna ambaye angebaki mjini.Chief Usibishane tuuu...Jamaa kweli Analima kilimo kikubwa pale Ubaruku,Mbeya...Ni mashamba ya Umwagiliaji...so kuvuna Ni 100%
Mwekezaji aliyepewa na serikali yetu hua hamalizi hizo hekta zote hapo kapunga...so unafanya booking then unakodiwa kwa plot..kila plot ni heka 15...Masanja hakosi plot Zaid ya 10 Kama sijakosea...na kila plot Moja kuhudumia Hadi mavuno sio chini ya 10M...
Nimelima karibia na plots zake...na kila mwaka jamaa anaongeza plots na kuupa mpunga/ Mchele wake thamani...so katika Hilo la kilimo jamaa anatengeneza hela na msimamizi wa hiyo project Ni Dada yake as yupo kule all the time!
Ki vp chief?!Mwe !siku za mwisho kweli zimekaribia
Yaan masanja awe mchungaji!Ki vp chief?!
Hahahah.Kwa dunia ya sasa na wakristo wa leo,mbona hata wewe unaweza tu..Yaan masanja awe mchungaji!
Nimekuwa na mashaka na aina ya suti uliyovaa. Napenda kujua ni kanisa gani ulilotoka kuabudu?
Hata hivyo kwa jibu lolote, najua hakuna jipya chini ya jua.
Renard bonke alikuwaje mkuuAsije akawa Kama wakina Reginard Bonke
Rernad bonke alikuwaje mkuu maana ktk watumishi wa mungu nilikuwa na mwamini sana mkuuUmenikumbusha mambo mengi kumtaja huyo Bonke.
Rernad bonke alikuwaje mkuu maana ktk watumishi wa mungu nilikuwa namwamini sana huyu bwanaAsije akawa Kama wakina Reginard Bonke