Black Opal
Senior Member
- Jan 22, 2023
- 199
- 253
Asilimia tisini kama si zaidi ya Watanzania tunapiga mitumba, ndio tunayoweza kumudu. Hatuna viwanda vinavyojitosheleza kwenye sekta hii kiasi cha kuzalisha nguo zenye ubora na gharama nafuu kwa wengi kumudu.
Mitumba imekuwa chaguo la wengi kutokana na kwamba unapata bidhaa nzuri kwa bei nafuu. Yaani ukichukua nguo mpya uliyonunua elfu 50, mtumba wa elf 10 - 20 unakuwa bora zaidi ya mpya. Walau marufuku ingekuja tukiwa tunataka kuinua viwanda vya ndani, lakini viwanda 0, hii karata Tanzania tuko tayari kuicheza kweli?
Wakuu, Tanzania ikienda na katazo hili wenzangu na mimi tutatoboa kweli? Au tutakuwa tunanunua nguo moja kwa mwaka?😂😅😅
Mitumba imekuwa chaguo la wengi kutokana na kwamba unapata bidhaa nzuri kwa bei nafuu. Yaani ukichukua nguo mpya uliyonunua elfu 50, mtumba wa elf 10 - 20 unakuwa bora zaidi ya mpya. Walau marufuku ingekuja tukiwa tunataka kuinua viwanda vya ndani, lakini viwanda 0, hii karata Tanzania tuko tayari kuicheza kweli?
Wakuu, Tanzania ikienda na katazo hili wenzangu na mimi tutatoboa kweli? Au tutakuwa tunanunua nguo moja kwa mwaka?😂😅😅