Marufuku kuajiri Mhasibu asiyesajiliwa - NBAA yaomba majina ya wote walioajiriwa kinyume cha sheria

NBAA haina tabia ya kutetea wahasibu zaidi ya kutoza ada tu.
Kuna watu hawana CPA(T) lakini wako vizuri sana technically. Hawa ndio wamenifundisha Uhasibu. Hakuna kampuni inayokubali kirahisi kuajiri CPA holders, mishahara yao ni mikubwa na hawapendi kuumiza vichwa kutengeneza hesabu. Huwaachia juniors na wao kuja kukagua tu. Wamekuwa watawala zaidi.
 
NBAA haina tabia ya kutetea wahasibu zaidi ya kutoza ada tu.
Kuna watu hawana CPA(T) lakini wako vizuri sana technically.

ni kwali NBAA hawajawai kutetea maslahi ya hizo CPA(T) wanazozalisha, wao wapo kukusanya Annual membership na student's subscriptions fee, pamoja na examinations fee

ifike wakati wajiongeze nao, yani wamekua hawana makali kbs
 
Ndio. Accounting package ambayo ni kwa ajili ya simple management. CPA holder nitamtafuta kipindi cha kufunga hesabu za mwaka

yule dogo amedanganya madam, hakuna Acctg Package kwa ajili ya wasio na CPA na wala zisizo hitaji CPA(T)..

kwa sababu posting ni zilezile, huwezi post km hujui entries... utakuwa unaharibu kazi za watu

ukitaka ujue umuhimu wa CPA(T) subiri siku tax auditors kutoka TRA wakosee njia waje wakague ivyo vitabu vyako, ndio utajua umewekeza kwa ajili yako au kwa ajili ya serikali

utapigwa assessment ujute kwanini uliamua fanya bias hara
 
Kama Kwenye idadi ya waliokutwa na vyeti vya kughushi kulikuwa na chief internal auditors na waweka Hazina hapo unapata picha gani ?!


yule dogo amedanganya madam, hakuna Acctg Package kwa ajili ya wasio na CPA na wala zisizo hitaji CPA(T)..

kwa sababu posting ni zilezile, huwezi post km hujui entries... utakuwa unaharibu kazi za watu

ukitaka ujue umuhimu wa CPA(T) subiri siku tax auditors kutoka TRA wakosee njia waje wakague ivyo vitabu vyako, ndio utajua umewekeza kwa ajili yako au kwa ajili ya serikali

utapigwa assessment ujute kwanini uliamua fanya bias hara






MS******* MIMI HYO CPA(T) SINA ILA MIM NI FUNDI BALAA NAVIANDAA VITABU VIZURI, CPA SIMITIHANI TU KWANI KUNA KIPI KIGENI,VYOOTE WANAVYO VISOMA NIMEVIFANYA MZUMBE NI MUDA WA KUKAA TU NA KUPIGA MASWALI,WATUACHE TUTAFUTE PEASAA SISSI
 
MS******* MIMI HYO CPA(T) SINA ILA MIM NI FUNDI BALAA NAVIANDAA VITABU VIZURI, CPA SIMITIHANI TU KWANI KUNA KIPI KIGENI,VYOOTE WANAVYO VISOMA NIMEVIFANYA MZUMBE NI MUDA WA KUKAA TU NA KUPIGA MASWALI,WATUACHE TUTAFUTE PEASAA SISSI
sawa
 
Bombardier ishapigwa mnada Huko Canada, konoike nap wanataka billion 130 zao
 
Sema NBAA nao wanafanya kazi kwa mihemuko hivi.kuna board ambazo zinajua kusimamia taaluma zao bwana lakini siyo hii board ya wahasibu.ni kukusanya subscrion fees na visemina visivyo na mbele wala nyuma vimekaa kiupigaji tuu.board iko manual sana hii.haiendani na hali ya kitaluuma ya sasa.Nadhani ni wakati mwafaka kuaingalia kwa undani kama inaendeshwa na watu sahihi
 
kwani Degree ya Accounts haitoshi au CPA ndo inafanya kazi..!? ikisemwa mnakurupuka mnaanza kuvimba. utendaji na kuwa na CPA vitu viwili tofauti.....sasa mnalizmisha watu wasome CPA ndio waajiriwe au...maana sio wote wataoweza kujiajiri.
 
Be serious please, hiyo CPA(T) kimataifa iko wapi? Kawaangalie wenye CPA waliowengi kiutendaji ni kusikitisha. Nadhani tuanze na mjadala wa kuiboresha CPA kivitendo kwanza.
Tujadiliane utendaji wa CPAs wetu baadaye, ila sasa hivi hapa ni swala la sheria. Sheria ya Tanzania inazuia kuajiri mhasibu ambaye hakusajiliwa na NBAA, full stop. Iwapo NBAA wamsajili mtu siyekuwa na uwezo hapo itakuwa ni swala la kuwakaba koo hao NBAA
 
watu wasio na uhasibu utawajua tuu kazi kutema povu mtoa mada yuko sahihi tatizo hamjaelewa bodi inachomaanisha ,bodi inamaanisha ni marufuku kwa kampuni yoyote mfano Diloitte kuendesha shughuli zake za ukaguzi wa mahesabu bila kutambuliwa na bodi,pia wamiliki wa hizi kampuni nikimaaisha mapartiner lazma wawe na CPA(T),hii inajulikana mbona .utamkaguaje mtu huna mhuri wa CPA-P(T) ni uhalifu na unaharibu sifa ya NBAA,hivyo haimaanishi kwamba tamko la bodi ni kwamba wahasibu wote wawe na CPA japokua ni vyema kuwa nayo ,kama mnafikiri hivyo mnajichanganya maana hata mhasibu msaidizi wa bodi hana CPA .
 
View attachment 596137

Pamoja na tangazo hilo la NBAA kwa waajiri wote Tanzania, bado kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa sheria hiyo ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu.

Katika makampuni mengi utakuta idadi kubwa ya wakaguzi hesabu, wahasibu, na mameneja fedha (wenye asili ya Asia, Wakenya, na baadhi ya Watanzania) wasio na CPA(T) wala ACCA.

Bado idara ya Uhamiaji imeshindwa kufanya kazi yake kiufasaha-kudhibiti raia hawa wakigeni wasio na sifa wala uwezo kuja kuchukua fursa za ndugu zetu wenye sifa tajwa na NBAA.

Hapa ndio utaona tofauti iliyopo kati ya ACCA na CPA(T), wenzetu waingereza wamefanya propaganda ya maana kufanya cheti chao kutambuliwa na kuheshimika kimataifa, lakini NBAA imeshindwa kusimamia cheti chao.

Hili limenipelekea mara mbilimbili kujiuliza kazi za NBAA-Tanzania.

Ni wito wangu, kwenu wanajamvi kutoa orodha/majina ya wafanyakazi wote Kwenye nafasi za Umeneja wa Fedha, Wahasibu/ wakaguzi wa Mahesabu wasio na CPA(T), wala ACCA waliopo kwenye makampuni mbalimbali hapa hapa Tanzania:- tajeni majina yao na kampuni zao hapa nami nitayakusanya na kuyapeleka NBAA wayafanyie kazi:-

Naanza na jina la kwanza:-

01. Dickson (Raia wa Kenya, kampuni ni Baker Tilly GDPl - huyu alikuja Kukagua bodi ya Mikopo kama Auditor, alisumbua sana kumbe hana CPA (T) ni Graduate tuu)
2.
3.
Wahasibu bhana mwisho watasema hata konda wa daladala awe na CPA(T)
KWENYE MASHIRIKA YA UMMA NA SERIKALINI WENYE CPA NI WA WACHACHE SANA, WENGI WANA DEGREE TU WENGINE DEGREE ZA CHUPI NDIO MAANA HAWAWEZI KUFAULU CPA.

AFADHALI HATA NBAA, HUKO PSPTB NDO KUMEOZA KABISA. USAJILI NI NJIA YA KUKUSANYA PESA TU, HAKUNA UKAGUZI HATA KIDOGO
 
View attachment 596137

Pamoja na tangazo hilo la NBAA kwa waajiri wote Tanzania, bado kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa sheria hiyo ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu.

Katika makampuni mengi utakuta idadi kubwa ya wakaguzi hesabu, wahasibu, na mameneja fedha (wenye asili ya Asia, Wakenya, na baadhi ya Watanzania) wasio na CPA(T) wala ACCA.

Bado idara ya Uhamiaji imeshindwa kufanya kazi yake kiufasaha-kudhibiti raia hawa wakigeni wasio na sifa wala uwezo kuja kuchukua fursa za ndugu zetu wenye sifa tajwa na NBAA.

Hapa ndio utaona tofauti iliyopo kati ya ACCA na CPA(T), wenzetu waingereza wamefanya propaganda ya maana kufanya cheti chao kutambuliwa na kuheshimika kimataifa, lakini NBAA imeshindwa kusimamia cheti chao.

Hili limenipelekea mara mbilimbili kujiuliza kazi za NBAA-Tanzania.

Ni wito wangu, kwenu wanajamvi kutoa orodha/majina ya wafanyakazi wote Kwenye nafasi za Umeneja wa Fedha, Wahasibu/ wakaguzi wa Mahesabu wasio na CPA(T), wala ACCA waliopo kwenye makampuni mbalimbali hapa hapa Tanzania:- tajeni majina yao na kampuni zao hapa nami nitayakusanya na kuyapeleka NBAA wayafanyie kazi:-

Naanza na jina la kwanza:-

01. Dickson (Raia wa Kenya, kampuni ni Baker Tilly GDPl - huyu alikuja Kukagua bodi ya Mikopo kama Auditor, alisumbua sana kumbe hana CPA (T) ni Graduate tuu)
2.
3.
CPA ya bongo ile ya walimu waliosoma jioni km tuition na kupata cpa ya kukariri.Wanafundisha wanafunzi wao kwa kuwaambia wewe jua hii inakaa huku.Ukiandika tofauti utafeli? Wanafelishana na kufelisha waliotoka vyuoni ili waonekane eti wanafundisha vitu vigumu?Huu ujinga wa elimnu za kijamaa unatia kinyaa.

Wajamaa ni laana sana. Watu wanaajiri wahasibu wa kawaida na bookkeepers kwa vile wana mifumo mizuri. hao bookkeerps wanakusanya data kila siku ,siku za mwisho ndipo wanaajiri hao wataalamun kwa muda mfupi ili kuweka report sawa. Wajamaa wanaweka maigizo km vile hawajui hao cpa wao pamoja n akuwa useless wanakost more na kuwa useless ktk kipindi kirefu.
 
Back
Top Bottom