nchi hii watu wanapenda sana mavyeti kuliko utendaji...
badala ya kuboresha elimu iendane na uhalisia wanapigana majungu tu..
hata cpa ziwe mia kwenye kampuni... finance manager anakuwa mmoja tu,, chief accountant mmoja tu, ambao hata wakiwa na makarani 100 nyuma yao kazi hazikwami..
kampuni yoyote yoyote multinational hivyo vyeo wanampa anaeweza hasa hasa... sio sababu ana cpa ya tanzania ndio ulazimishe awe mhasibu kila sehemu
badala ya kuboresha elimu iendane na uhalisia wanapigana majungu tu..
hata cpa ziwe mia kwenye kampuni... finance manager anakuwa mmoja tu,, chief accountant mmoja tu, ambao hata wakiwa na makarani 100 nyuma yao kazi hazikwami..
kampuni yoyote yoyote multinational hivyo vyeo wanampa anaeweza hasa hasa... sio sababu ana cpa ya tanzania ndio ulazimishe awe mhasibu kila sehemu