Marriage for revenge

Marriage for revenge

Vannele

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
287
Reaction score
90
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.

unatokea machame sehemu gani?coz mkishachuma tu mnatafuta sababu za kumuweka udongoni ili mfaidi mali
 
Duuuuh so why Did you get married?? Unajua kama kisasi ni cha Mungu tu. Je ukifanya hayo unayotaka kufanya na asiumie kiasi unachofikiria then what next?? Watu kama nyie ndio mnafanya wanaume waogope kuoa. Yaani unaolewa na mtu ambaye una kisasi naye halafu eti unampenda?? What is the meaning of that love by the way?? Unanifanya niwaamini waliosema NEVER TRUST A WOMAN Period
 
Duuuuh so why Did you get married?? Unajua kama kisasi ni cha Mungu tu. Je ukifanya hayo unayotaka kufanya na asiumie kiasi unachofikiria then what next?? Watu kama nyie ndio mnafanya wanaume waogope kuoa. Yaani unaolewa na mtu ambaye una kisasi naye halafu eti unampenda?? What is the meaning of that love by the way?? Unanifanya niwaamini waliosema NEVER TRUST A WOMAN Period

never trust a woman bean....no sarry...em err i meant a human being.
 
unatokea machame sehemu gani?coz mkishachuma tu mnatafuta sababu za kumuweka udongoni ili mfaidi mali

Wala sitokei machame.Na sifikirii kuua hata kidogo but I want to do something
 
Duuuuh so why Did you get married?? Unajua kama kisasi ni cha Mungu tu. Je ukifanya hayo unayotaka kufanya na asiumie kiasi unachofikiria then what next?? Watu kama nyie ndio mnafanya wanaume waogope kuoa. Yaani unaolewa na mtu ambaye una kisasi naye halafu eti unampenda?? What is the meaning of that love by the way?? Unanifanya niwaamini waliosema NEVER TRUST A WOMAN Period

kuumia lazima aumie...Wanaume mkome kuchezea hisia za wanawake.
 
Mkomeshe....yeye si alikuona wewe sio wife material....lol
Then utupe mrejesho...
Ila tungependa kujua utamkomesha kwa lipi hasa....
 
Jifanye komoa ukamkute komesha au Jiafanye Komesha umkute Komoa. What goes around Comes around Ndio maana kisasi ni cha Mungu tu.

Najua kuwa ninachokikusudia sio kizuri. Ila kila nikikumbuka mabaya aliyonifanyia huwa nabaki kujifungia na kulia sana amenitendea mengi mabaya.Hujui tu kuwa hata hii ndoa nilijisacrifice namna gani...
 
Mkomeshe....yeye si alikuona wewe sio wife material....lol
Then utupe mrejesho...
Ila tungependa kujua utamkomesha kwa lipi hasa....

dawa yake inachemka
 
Vipi umeshazaa nae...kama umeshazaa nae hakikisha hiyo revenge yako itawaumiza watoto wako...btw binaadamu tujifunze kusameheana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Amechezea wapi? Sikaolewa hayo ni maneno ya wachonganishi. Hivi shule zinafunguliwa lini?

wala sio wachonganishi,siku moja one of my friends alimuweka kwenye loud speaker nikamsikiliza bila yeye kujua.acha ndugu yangu aliropoka maneno sikuamini
 
Today I want to confess that I am in this marriage to take my revenge...This man humiliated me a lot...Alinikashifu sana mpaka kwa rafiki zangu kuwa hawezi kunioa hata iweje kwa kuwa eti sina vigezo...Ilifikia kipindi alikuwa anawaambia wamtafutie mke...I wanted to prove him wrong...nilijitahidi kujifanya kipofu na kuwa mwema kwake and finally he fell into my trap,he proposed and we got married...nataka nifanye kitu kitakachomuumiza na yeye ahisi maumivu niliyoyapata...kiukweli ninampenda sana lakini nikikumbuka aliyonifanyia naumia sana,na mimi nataka nilipize.
Mtafutie ile dawa ya masai ya kusafisha tumbo umpe as breakfast af aende kazini ikafanye kazi mumo kwa mumo!teh
pili mwekee pilipili kwenye dawa ya mswaki af utafute sababu yoyote as to why pepper on the tpaste...
tatu mkiwa mnafanya jifanye mzuka umepanda umng'ate au umzabe vibao..
:decision::decision::decision:
sounds funny right?better and harmless heheheh
 
Back
Top Bottom