Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

MBONA RABA ZA KISHAMBA HIVYO MIKUFU KAMA ENLGISH GOLD, HAPANA SUBIRI NIZIANGALIE HIZO NAMBA KAMA KWELI ZIMESAJILIWA AFRIKA KUSINI NA TANZANIA ISIWE NI PHOTOSHOP IMETENGENEZA NAMBA HALAFU INASETIWA MAANA RABA NI ZILE ZA SH 3000 HOW AZIVAE KWANINI
 
Msumbiji hakuna muuza madin wa hivyi kutoka tanzania wauza madin wa musumbiji wote nawajua na ni wasukuma, wanyakusa na mpale mmoja
Ni kweli jamaa yupo msumbiji anafanya biashara ya ruby,ila ni mtu wa karibu sana na Jack Pemba wanapiga kazi pamoja,fungua kichwa kazi anayofanya Jack Pemba utapata jibu
 
Uza na wewe mjomba.
 
danga danga danga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…