Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,473
Kuridhika ni ngumu ila kidogo atapunguza shobo (kiherehere) kwa wenye nazo.We wanawake unawajua vizur ww, usikute demu wa mshikaji anatamani maliza davido, ama mtoto wa bakhresa
Kama unasaka pesa saka kwa nguv zote kwa ajili ya familia yako hasa mama mzazi, na wanao, usisake pesa ili umkamate mwanamke utajiongopea, nafs ya wanadamu kuridhika ni mtihani kidogo.
Tafuteni pesa kwa bidii walau itapunguza maumivu kwa wapenzi wenu