Haha sijaandika Nani kamshinda Nani, nimetoa kama lesson watu wajifunze kuwa huitaji kuvaa expensively kuprove status yako in the societyKuna jamaa alisema hizi habari zinamkera sana akiziona [h]
Ngoja aje tusikie maoni yake
Hii tabia za kuleta uzi humu kuhusu matajiri nchini na duniani inakera
Haiwezekani mwanume mzima unacopy habari za Ellon masks kamshinda James bizoz na Bill gates huko CNN nakutuletea humu jamvini tujadili. Yani unaleta uzi tujadili orodha ya mabilionea duniani. Kweli kabisa? Ili iweje? Isitoshe pia kasumba hii ipo kwa mamilionea uchwara nchini kuletwa...www.jamiiforums.com
Sisi tusio na hela ndiyo tunawanufaisha wafanyabiashara.
Jamaa ana uwezo wa kuishi popote anapotaka lakini mimi kiwanja mbagala ninalipia kwa awamu nne.Yanii jamaa Yuko simple😍
Wakati Mimi mlo wa manati
Nimevaa karibu laki tatu
Kugeresha Kama pedeshe wamjini🤣
😀😂🤣Jamaa ana uwezo wa kuishi popote anapotaka lakini mimi kiwanja mbagala ninalipia kwa awamu nne.
Mark watoto wake hawatumii hata Facebook au instagramSisi tusio na hela ndiyo tunawanufaisha wafanyabiashara.
Kwamba ni shapeshifter???🤣Wanasema huwa ni lizard huyo.
Sana tu,na ndio wenye bahati nazo,ila ukimfuatilia tokea huko nyuma utagundua kuwa alikuwa mashamba flani hivi,muangalie Billgate na Bezos walivyo na huyu alievaa mitumba hapo juu,ila naona kidogo Elon Musk yeye anaonekana mjanja...Kumbe unaeza kua na ela alaf ukawa mshamba tu eeeh?