Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
elon musk mwenyewe anastrago kuongeaSio kweli genius wote wako hivyo muangalie Larry Paige wa Google au Elon Musk wapo poa tu.
elon musk mwenyewe anastrago kuongeaSio kweli genius wote wako hivyo muangalie Larry Paige wa Google au Elon Musk wapo poa tu.
Umejuaje ni mtumba?Hata kama yupo simple, ndiyo avae raba za mtumba.
😀😀Kuna jamaa alisema hizi habari zinamkera sana akiziona
Ngoja aje tusikie maoni yake
Hii tabia za kuleta uzi humu kuhusu matajiri nchini na duniani inakera
Haiwezekani mwanume mzima unacopy habari za Ellon masks kamshinda James bizoz na Bill gates huko CNN nakutuletea humu jamvini tujadili. Yani unaleta uzi tujadili orodha ya mabilionea duniani. Kweli kabisa? Ili iweje? Isitoshe pia kasumba hii ipo kwa mamilionea uchwara nchini kuletwa...www.jamiiforums.com
Akili za mbongo.Sana tu,na ndio wenye bahati nazo,ila ukimfuatilia tokea huko nyuma utagundua kuwa alikuwa mashamba flani hivi,muangalie Billgate na Bezos walivyo na huyu alievaa mitumba hapo juu,ila naona kidogo Elon Musk yeye anaonekana mjanja...
mimi mwenyewe naoataga tabu sana kuongeaMkuu! Asilimia kubwa ya watu wenye akili nyingi huwaga hivyo hivyo ..
Kama unamfatilia sana, utagundua kwamba ndo mavazi yake ya kila siku ..Hapa kuna mambo mawili
1. Unaweza kuta hizo pamba ni ghali sana tena sana,sema tunaona ni simple tu!
2. Unaweza kuta alikua kwenye kazi au matembezi yakawaida sana,so hawezi tupia madude hatari! Hivi mtu kama huyu hana wabunifu wa mavazi yake??
ULAYA MTUMBA.UTOKE WAPI HIO NGOMA KACHANA.MPYA DUKANI MZEEHaha mkuu umejuaje kama za mtumba ? ..
Ulaya Kuna mitumba. Tena sana. Google "thrift shop" .ULAYA MTUMBA.UTOKE WAPI HIO NGOMA KACHANA.MPYA DUKANI MZEE
Ulitaka avae kama hawa? Mtamcheka!! Sio style yake. Na mtu mwenye akili unaweka Pesa kwenye technology, real estate nk. Na si kwenye nguo, macheni na magari. Ni uharibifu wa pesa na ndo maana Hawa matajiri wanaendelea kutajirika. Wewe kama kitu cha kwanza ni kujionesha kuwa una pesa, basi maono ya mbali na utaishia kuplease macho ya watu tu.Haha dah mtu unahela baada ya kupiga vitu vikali unaishia kununua vi t -shirt vya rangi ya kijivu kwa bei mbaya,, anyway mkuu! vipi na hiyo raba hapo chini huna update yeyote ? ..
If I can add something, Ni kwamba he is a white man and he has nothing to prove.One of the richest men on earth, no expensive watch, chain, clothes .. we gotta learn something from this man .. View attachment 1682536
Sawa mkuu umemaliza yote ..If I can add something, Ni kwamba he is a white man and he has nothing to prove.
Hata Hawa wazungu wanaotembea na ndala mjini hapa bongo si tunawaona kama watakuwa na pesa si ndio? Compare to wewe huwezi kukatiza mjini umevaa ndala utaonekana fala. Kwenye nchi fulani people assume kama wewe Ni black huna kitu. Sasa unakuta watu wanaovercompensate Sasa unakuta wanavaa ma label na ma brand waonekane wako class fulani. Tatizo Ni hizi brand hawapendi kuona ma black wanavaa chata zao 😂 ..kama Kuna Burberry nakumbuka walichukia watu wa ghetto rich walikuwa wanavaa nguo zao.
Kuvaa simple ndo mwendo wenyewe , nikiona mwanamme anaevaa chata na brand kuuubwa nampita mbali. He is insecure.
Tumezoea kwetu mtumba unakuwa umetokea Ulaya na Marekani sasa mmarekani anapovaa mtumba unakuwa umetokea wapi?Hata kama yupo simple, ndiyo avae raba za mtumba.
kwenye sayari ya mars zimevaliwa na allien.Tumezoea kwetu mtumba unakuwa umetokea Ulaya na Marekani sasa mmarekani anapovaa mtumba unakuwa umetokea wapi?
Wabongo si wanaamini kupiga pamba kali ndio ujanja.unaweza ukawa mjanja ila ujanja wako usikusaidie kuwa na hela.