Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,690
- 26,580
Mume wake ana ela na ninavyosikia kuwa anatoa tigo kwa mumewe basi mumewe atakuwa anamwaga ela kwake vibaya mno.
Thamani mbwa itakua juu Sana kama italinganishwa name ubinaadam wako.
Mume wake ana ela na ninavyosikia kuwa anatoa tigo kwa mumewe basi mumewe atakuwa anamwaga ela kwake vibaya mno.
Punguza jazba. Breath in breath out,taratibu. Uliza swali.
Ukisema ukweli daima nitakuunga mkono. hata kama ukweli huo unaniuma/unanichoma. lakini ukileta chuki zako kwangu haitajalisha hayo mengine.wewe mtu....mimi nimetukana wapi? jifunze kujiheshimu utaheshimiwa
mbwa ni mbwa tu. hakuna jina lingine zuri la kumuita. sorry.Acha kujizalilisha wewe shame on your chimpanzee face huoni hata aibu mxiiiiiuuiiiiuuiiiu
Abunuasi, hapa tunaongelea uthubutu wa dada Maria period, hayo ya kipenzi chako Zitto waweza mfungulia uzi wake mkuu!,
By theway, sidhani kma Zitto anafitiniwa, kwa taarifa yako mimi nilikuwa shabiki namba moja wa Zitto Kabwe, hasa enzi hizo za Buzwagi and the likes, povu lilinitoka sana nikimtetea, sikumoja nikakutana na mtu mkubwa fulani akanambia we yule kijana anavuta/anachukua kitu tena ndefu yaani si chini ya 0.5 bil. Nikapigwa na butwaa, na sikutaka kumuamini kihivyo ila nilishindwa ona logic ya mtu kama yeye kumnenea uongo Zitto, Yaliyo endelea mkuu wote tumeshuhudia, pasi ndefu za kwenda Ujerumani mwe! JF ina kumbukumbu zote, Inshort, nimekoma kabisa mahaba na mwansiasa as a person, Ya Daktari Mkumbo nayo ndo kabisaaa yamegongomelea msumari wa mwisho!
samahani wakuu kwenda nje ya mada; Dada Maria hongera sana
Apology Honey Faith.Haya mie pia umenitukana sijui ni wapi nimekosea.Na inaonyesha ni jinsi gani usivyokuwa na busara hata kidogo na hata kama tulikosea sehemu ulitakiwa uwasilushe katika hali nzuri ila hivyo unavyofanya si uungwana
Ushachelewa n'jombaMwacheni Maria nina malengo nae jaman ya kuishi kama mume na mke.
we fal.a inaonesha jinsi ulivyo mweupe. soma thread iliyoletwa. imeanza kwa kumpongeza zitto. sasa sijui unabisha nini, huu ni uthibitisho tosha juu ya chuki zako kwa Zitto, bila hata kuzingatia upuuzi mwengine ulioupost.
eti niliambiwa na mkuu, hizo ni porojo tu kama zingine au kama zile za mara Riz kashikwa na madawa Uchina.
eti rekodi za jamii forum, pure kinyesi, juzi hapa yule kinyesi aitwaye mungi alikuja na singo kuwa mke wa mbunge wa moshi vijijini agrey amemuua house girl wake kisa ni Muislam na kwa vile hataki kwenda kanisani, na hiyo ndo hiyo jf unayorefaa kuonesha ulivya mpumbavu.
kuhusu Zitto kwenda ujerumani sioni cha ajabu, Zitto amesoma Masters na sasa hivi akiwa anasoma PhD yake akiwa na uhusiano wa karibu sana na safari zake za Germany achilia mbali kusoma huko. kwa hiyo hizo zote naona porojo;
kuhusu kitila; hiyo sawa, kila mmoja kwa sasa anajua fika kitila ni ccm, kwa rangi aliyoionesha
we fal.a inaonesha jinsi ulivyo mweupe. soma thread iliyoletwa. imeanza kwa kumpongeza zitto. sasa sijui unabisha nini, huu ni uthibitisho tosha juu ya chuki zako kwa Zitto, bila hata kuzingatia upuuzi mwengine ulioupost.
eti niliambiwa na mkuu, hizo ni porojo tu kama zingine au kama zile za mara Riz kashikwa na madawa Uchina.
eti rekodi za jamii forum, pure kinyesi, juzi hapa yule kinyesi aitwaye mungi alikuja na singo kuwa mke wa mbunge wa moshi vijijini agrey amemuua house girl wake kisa ni Muislam na kwa vile hataki kwenda kanisani, na hiyo ndo hiyo jf unayorefaa kuonesha ulivya mpumbavu.
kuhusu Zitto kwenda ujerumani sioni cha ajabu, Zitto amesoma Masters na sasa hivi akiwa anasoma PhD yake akiwa na uhusiano wa karibu sana na safari zake za Germany achilia mbali kusoma huko. kwa hiyo hizo zote naona porojo;
kuhusu kitila; hiyo sawa, kila mmoja kwa sasa anajua fika kitila ni ccm, kwa rangi aliyoionesha
Kale ban.ge ili upate stata na mzuka uandike vizuri. unachokanusha ndio unachoandika sikuelewi...
Mmmm, la posho hili.Bunge la posho.
umenichekesha sana baada ya kuniambia kwa heshima na taadhima matusi yote yakurudie. da! kweli wewe ni bonge la mbunifu.Aise kumbe wewe bonge la abunuasi, sasa mitusi yote hiyo ya nini? kwa heshima na taadhima hiyo mitusi yote ukurudie mwenye, we endelea kulamba miguu ya Zitto, ipo siku hakika ukweli utajitenga, na pamoja na mahaba uliyo nayo uachie ubongo wako ufikirie nje ya box, kwanini yeye tu? na kwa hakika usiusemee moyo wa mwenzio, kwani moyo wa binadamu kichaka. wait, time will tell.
Dada mari hongera mwaya
hii ni kali aisee. mpaka umenipa na kabila kabisa kuonesha msisitizo. Binafsi sina chuki na kabila lolote wala mtu yeyote kama sio mfitini. Sio mchaga lakini nina marafiki wengi wachaga. ni watu ambao nimeweza kwendana nao kwa mambo mengi. lakini walionishinda kwendana nao ni wasukuma na wahaya kwa sababu ya kujiona japokuwa nimeweza ku-match na baadhi ya wahaya. (hii ni nje ya topic lakini)We Mchaga na munamchukia na Zito kwasababu alitaka kugombea uwenyekiti,mukamlazimisha kujitoa,tangia hapo Muna chuki nae,kumbukeni hamuwezi kuchukuwa DOLA kwa kutegemea kanda moja.
maria nasikia alishawahi kuugua kichaa