Maria Sarungi only God knows where she came from

Maria Sarungi only God knows where she came from

Thread yako ni nzuri ila hapo mwanzo umemtaja shetani mmoja ambaye ni mnafiki...
 
Maria Sarungi ni alama tosha ya Taifa letu. Nampongeza sana kwa moyo wa unyenyekevu kwa nchi yake. Kimsingi pale watu wanakula posho tu hakuna wanachofanya bila ukawa
 
Thread yako ni nzuri ila hapo mwanzo umemtaja shetani mmoja ambaye ni mnafiki...

Mkuu Shetani mkubwa ni yule aliyechukua hela za mkono asiende jimboni kwake kupiga Campaign


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hebu andika kitu kwa ufasaha
Maria Kafanyaje, karudi Bungeni na kuyapa ma Intarahamwe za uso ukumbini ama ????
Zitto anafuata nini hapa ilhali Heading ni ya Maria.
Hebu eleza kwa kirefu
we kweli punguwani. Zitto anasitahiki pongezi kwa uzalendo wake wa kweli. In Zitto we trust.
 
Mkuu, hebu andika kitu kwa ufasaha
Maria Kafanyaje, karudi Bungeni na kuyapa ma Intarahamwe za uso ukumbini ama ????
Zitto anafuata nini hapa ilhali Heading ni ya Maria.
Hebu eleza kwa kirefu

anamanisha anamsimamo kama wa zito kabwe katika kutetea taifa
 
Hata wakati ule alitoka na UKAWA pia.
Ova.
 
WanaJF muelewe kwamba mnapomtaja Zito kwny mambo ya msingi mnapoteza maana kabisa.naomba ieleweke ivo
 
She is really patriotic, brilliant, long sighted, broad minded and above all she is beautiful!

hata kina Zito waliharibiwa na sifa za kinafiki kama hizi,mpeni mtu changamoto badala ya kumpa bichwa.
 
Mnasemaje hajarudi ikiwa kesho ataonekana mje tena hapa mseme karudi
 
Mnavuruga flow, hapa tuna discuss new kid on the block binti Mariam Sarungi. Tuheshimiane.
 
Well, kama dada Maria kasimamia anacho kiamini, nampongeza kwa sana tu, make kuthubutu kwenda kinyume na mainterahamwe si mchezo!
 
Back
Top Bottom