Maria Sarungi only God knows where she came from

Maria Sarungi only God knows where she came from

Kutorudi kwa sarungi kunasaidia nini kupata katiba mpya?
 
wanasheria waangalie ni kwa namna gani huu usanii wanaweza kuufutilia mbali kwa kutumia mahakama kuu
 
namuunga mkono huyo mtoto wa daktari bingwa wa mifupa sarungi kwa 100% kama ninavyomuunga mkono Zitto kwa uzalendo wake usiokoma kwa nchi hii pamoja na fitna zote mnazomfanyia. kwa heri


Na wewe si ni ama kaka/dada/mama/baba yake na hao?? ama wewe siyo jamii yao? (same species?) Think twice mkuu !

Well, kama dada Maria kasimamia anacho kiamini, nampongeza kwa sana tu, make kuthubutu kwenda kinyume na mainterahamwe si mchezo!
 
Kweli huyu Mama ni jasiri...Uteuzi wake ulikuwa wa maana.Anaelewa anachokifanya.Hata awamu ya kwanza ya Bunge michango yake ilikuwa imeenda shule.Anajitambua
 
Nianze kumpa pongezi mh.Zitto Kabwe kuungana na wananchi wengine kupinga kitendo cha Ccm kutumia mabavu kuandika katiba wanayoitaka wao.

Maria Sarungi nimekosa neno la kumwambia na sijui mwanamke wa umri wake ametolea wapi huo moyo wa kuacha kuchukua zaidi ya mil. 20 za vikao na kuamua kusimamia ukweli. Maria Sarungi ni mzalendo ni mfano wa kuigwa na tukishinda hili historia itamuandika vizuri.

Sijui ametokea wapi huyu binti. My words are not enough to express how great this woman is.

Maria Sarungi ni mjumbe wa bunge la katiba kutoka kundi la 201. Hajarudi kwenye bunge la intarahamwe naona maneno ya jaji warioba na wale ma prof aliya elewa vizuri.

Mjaluo huyo.
 
Huyu dada sarungi namkubali. Naona umemchomeka kiaina zzk! Zzk si alianzisha kundi sijui la tanzania kwanza or tz 1? Huyu zzk ni msanii sana, yeye anaangalia wenzie au wanchi wanegamia wapi? Najua ule upuuzi wa mdahalo wa udasa uliondaliwa na akina mkumbo kitira basi nae alikuwa nyuma ya huu uchafu. Ccm, zzk, amad rashd, cheyo aibu itawapata muda si mrefu, tuombe uzima mimi na wewe tuwe hai
 
waliotukana ni hao niliowajibu. nilichofanya ni kuwapa black and white tu the way they are.

Haya mie pia umenitukana sijui ni wapi nimekosea.Na inaonyesha ni jinsi gani usivyokuwa na busara hata kidogo na hata kama tulikosea sehemu ulitakiwa uwasilushe katika hali nzuri ila hivyo unavyofanya si uungwana
 
Big up maria!wewe ni kiongozi halisi na hili limeonyeshwa na uzalendo wako wa kukubaliana yale wanayotaka wananchi!ndo viongozi wa aina yako tunaowahitaji!ushabiki unapita!siasa zitapita!lkn fikra za kweli na uzalendo hautapita!miaka mingi ijayo hata baada ya wewe kuondoka duniani utabakia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa uzalendo uliouonyesha!
Hongera sanaa!
 
karibu rorya jimbo ka prof.sarungi alilompa mjomba wako akushie kwa muda.
 
Kwa kweli ni mfano wa kuigwa! Nampenda sana huyu dada
 
Mnasemaje hajarudi ikiwa kesho ataonekana mje tena hapa mseme karudi

huyo ni mixer ya mukrane na mjaluo, baba yake ni prof.sarungi kichwa ingine ikiamuaimeamua.
 
Huko Dodoma kuna wengine wameenda kwa kuwa wanasomesha teh teh...
 
---- tu yule si ndiye alikuwa anandaa speech za ZZK kipindi kile kule Kigoma.
 
Back
Top Bottom