Maria Sarungi only God knows where she came from

Maria Sarungi only God knows where she came from

Maria Sarungi ni alama tosha ya Taifa letu. Nampongeza sana kwa moyo wa unyenyekevu kwa nchi yake. Kimsingi pale watu wanakula posho tu hakuna wanachofanya bila ukawa

Namshangaa mtu km yule wanayemwita Mwalimu anajifanya anatetea wakati anazomewa na ccm bungeni ni bora angetoka tu lkn tamaa ya fedha imemtawala
 
namuunga mkono huyo mtoto wa daktari bingwa wa mifupa sarungi kwa 100% kama ninavyomuunga mkono Zitto kwa uzalendo wake usiokoma kwa nchi hii pamoja na fitna zote mnazomfanyia. kwa heri

...kuanzia sasa tuanze kumshawishi Zitto ajiunge CCM na agomee uwenyekiti maana CHADEMA hawajaona ujembe wake.
 
Hongera Maria, utakumbukwa katika historia ya Tanzania.
Nchi hii ni kubwa kuliko mtu yeyote Prof Para
 
Mkuu Shetani mkubwa ni yule aliyechukua hela za mkono asiende jimboni kwake kupiga Campaign


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Kale ban.ge ili upate stata na mzuka uandike vizuri. unachokanusha ndio unachoandika sikuelewi...
 
Kumbe Zitto hakwenda, nilitaka kushangaa mtu wa Kutoka Kigoma awe laini kiasi hicho Zitto. Te amo Zitto
 
Maana nzima imeharibiwa baada ya kumhusisha huyu mpuuzi anayewaza kuwachuuza watanzania kwa gia ya uzalendo feki.I hate the that boy called Zitto.
 
Maana nzima imeharibiwa baada ya kumhusisha huyu mpuuzi anayewaza kuwachuuza watanzania kwa gia ya uzalendo feki.I hate the that boy called Zitto.

Tatizo UCHAGA umekuingia mpaka kwenye damu
 
Nianze kumpa pongezi mh.Zitto Kabwe kuungana na wananchi wengine kupinga kitendo cha Ccm kutumia mabavu kuandika katiba wanayoitaka wao.

Maria Sarungi nimekosa neno la kumwambia na sijui mwanamke wa umri wake ametolea wapi huo moyo wa kuacha kuchukua zaidi ya mil. 20 za vikao na kuamua kusimamia ukweli. Maria Sarungi ni mzalendo ni mfano wa kuigwa na tukishinda hili historia itamuandika vizuri.

Sijui ametokea wapi huyu binti. My words are not enough to express how great this woman is.

Maria Sarungi ni mjumbe wa bunge la katiba kutoka kundi la 201. Hajarudi kwenye bunge la intarahamwe naona maneno ya jaji warioba na wale ma prof aliya elewa vizuri.

Mchakato wa Katiba unaendelea kutuibulia Mashujaa wapya wa Taifa na Wachumia tumbo ambao huko nyuma walionekana wazalendo wa kweli wa nchi hii. Hongera sana Maria Sarungi kwa kuushinda unafiki wa wana CCM wenzako. Mungu akubariki sana!

Katika Taifa ambako viongozi wa Dini wanasimama na Watawala kubinya Uhuru na Demokrasia,Wanazuoni wanatia kinyaa kwa ujira mdogo wanapoteza heshima yao! Hongera sana bint Sarungi. Tujiulize yupo wapi Prof. Shivji? Kaponzwa na kutumika. Heshima yote imekwenda na maji!! Na wengine watafuata.
 
namuunga mkono huyo mtoto wa daktari bingwa wa mifupa sarungi kwa 100% kama ninavyomuunga mkono Zitto kwa uzalendo wake usiokoma kwa nchi hii pamoja na fitna zote mnazomfanyia. kwa heri

Abunuasi, hapa tunaongelea uthubutu wa dada Maria period, hayo ya kipenzi chako Zitto waweza mfungulia uzi wake mkuu!,
By theway, sidhani kma Zitto anafitiniwa, kwa taarifa yako mimi nilikuwa shabiki namba moja wa Zitto Kabwe, hasa enzi hizo za Buzwagi and the likes, povu lilinitoka sana nikimtetea, sikumoja nikakutana na mtu mkubwa fulani akanambia we yule kijana anavuta/anachukua kitu tena ndefu yaani si chini ya 0.5 bil. Nikapigwa na butwaa, na sikutaka kumuamini kihivyo ila nilishindwa ona logic ya mtu kama yeye kumnenea uongo Zitto, Yaliyo endelea mkuu wote tumeshuhudia, pasi ndefu za kwenda Ujerumani mwe! JF ina kumbukumbu zote, Inshort, nimekoma kabisa mahaba na mwansiasa as a person, Ya Daktari Mkumbo nayo ndo kabisaaa yamegongomelea msumari wa mwisho!
samahani wakuu kwenda nje ya mada; Dada Maria hongera sana
 
!
!
mnieleweshe wakuu.....kwani huyu maria ametangaza kutokwenda au hajatokea siku moja tu ya kwanza? tutajuaje kama hatakwenda kabisa!
Anyway, kama hatahudhuria nampa hongera sana
 
Yule dada Maria Sarungi niliwahi kumsikia akichangia mara nyingi. Kweli ni mtu makini na mfano mzuri wa vijana wenye kuona mbali. Kuyakataa mawazo ya wananchi katika rasimu ni dhambi kubwa itakayowahukumu watawala wa ccm.

Tusubiri yatimie maana Mungu yupo
 
Maria sarungi ni mtoto wa baba ambae ni magamba damu lakini kwa usomi wake ni mtu huru anaefanya maamuzi ya kizalendo!! Ni mfano wa kuigwa na vijana wa leo!! Mtoto wa mfalme aliyerithishwa ubunge hamuingii huyu dada hata mara mia!!
 
Mume wake ana ela na ninavyosikia kuwa anatoa tigo kwa mumewe basi mumewe atakuwa anamwaga ela kwake vibaya mno.
 
Back
Top Bottom