Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

Marekani ni kama Ibilisi, anakuahidi msaada, mambo yakiwa Magumu anasepa. Ukraine atakuwa kajifunza kitu.

Ngoja tuone kama udhwalimu utapata kudumu:

IMG_20240411_201945.jpg
 
President Biden has stated that US support for Israel is "ironclad" and raised the prospect of America becoming directly involved if war were to break out between Israel and Iran.
Si tulikubaliana kuwa Israel ina weza kupigana na dunia nzima ,sasa Marekani wa nini tena?
 
Uzuri Israel inamtamani sana Iran.

Kinachozuia vita Kati ya Iran na Israel ni Distance.

Jordan, Iraq na Syria ni buffer zone.

Sasa hawa Iraq na Syria wanajirahidi sana kuwa na upande, ngoja waje wafundiswhe adabu
 
Marekani anachofanya ni kuzichonganisha Israel na Iran! Anatafuta namna ya kuiingiza Iran kwenye 18 zake!
 
Uzuri Israel inamtamani sana Iran.

Kinachozuia vita Kati ya Iran na Israel ni Distance.

Jordan, Iraq na Syria ni buffer zone.

Sasa hawa Iraq na Syria wanajirahidi sana kuwa na upande, ngoja waje wafundiswhe adabu
We unaongea utopolo.
Israel haina tofauti na North Korea.

We unafikiri North Korea inavyomtishia US na kuaminisha dunia wanaweza kumpiga unaona ni kweli?

Israel anataka kujikuta ni powerful middle east hali ya kuwa na mdebwedo tu.

Hawatamani kuingia vitani na taifa kama Iran, ngoja tuone.
 
Ningetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake

Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear

Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k

Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo

Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Kuna watu wanapenda vita na kuichukia amani
 
Back
Top Bottom