- Thread starter
- #61
Marekani ni kama Ibilisi, anakuahidi msaada, mambo yakiwa Magumu anasepa. Ukraine atakuwa kajifunza kitu.
Ngoja tuone kama udhwalimu utapata kudumu:
Marekani ni kama Ibilisi, anakuahidi msaada, mambo yakiwa Magumu anasepa. Ukraine atakuwa kajifunza kitu.
Ramaphosa my ass 🤣🤣
Ramaphosa my ass 🤣🤣
Ramaphosa ni mmoja wa marais wa hovyo tuAss yako tena mkuu? Hudhani anachoongea ni kama huyu gwiji:
View attachment 2961697
Nobel laureate mbuzi (goat)?
Si tulikubaliana kuwa Israel ina weza kupigana na dunia nzima ,sasa Marekani wa nini tena?President Biden has stated that US support for Israel is "ironclad" and raised the prospect of America becoming directly involved if war were to break out between Israel and Iran.
Jaribuni muone moto wake, Iran will be turned into ashes..!!
View: https://youtu.be/fTstM345V00?si=6fSr_1-45P_wATP4
Dunia nzima?! Alisema nani?!Si tulikubaliana kuwa Israel ina weza kupigana na dunia nzima ,sasa Marekani wa nini tena?
Si tulikubaliana kuwa Israel ina weza kupigana na dunia nzima ,sasa Marekani wa nini tena?
Dunia nzima?! Alisema nani?!
Ila US nao wanafiki tu, badala ya kulaani na ku deal na Israel iliyoshambulia balozi ya Iran wao wana deal na Iran kuikataza isimpige Israel.
Hangaika tu mkuu wacha mimi nile magimbi
Hangaika tu mkuu wacha mimi nile magimbi
We unaongea utopolo.Uzuri Israel inamtamani sana Iran.
Kinachozuia vita Kati ya Iran na Israel ni Distance.
Jordan, Iraq na Syria ni buffer zone.
Sasa hawa Iraq na Syria wanajirahidi sana kuwa na upande, ngoja waje wafundiswhe adabu
Labda ww ni mgeni humu jf maana huwa tunaambiwa kuwa Marekani ndo ana mtegemea Israel kwa kila kitu.Dunia nzima?! Alisema nani?!
Kuna watu wanapenda vita na kuichukia amaniNingetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake
Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear
Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k
Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo
Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Yesu akirudiHivi ni lini hii Dunia itakuwa na amani ya kudumu???
Mwenye njaa hana muda wa kuwaterea wengine hutetea tumbo lake