Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

Sasa wanapigwa na psychological warfare na ktk hili wairan ni wataalamu mno muisrael ataachwa achwa kwanza ajisahau halafu atalipiziwa ila tu hii psych ops inwafrustrate israell na majamaa zake wote.

Ni kawaida kulinywa baada ya kulikoroga. Alifuata Nini Israel kwenye consulate ya wenyewe?
 
Ayatollah mbona haeleweki, anaenda mbele mara anarudi nyuma

Al-Arabia:

Iran's mission to the United Nations:

“Response [to Israel] can be avoided if the United Nations condemns the attack on our consulate in Damascus”

1. Weka source yote Ili tuone na tarehe zake.

US restricts travel for employees in Israel amid fears of Iran attack

2. Kwamba wanukuliwa hapa ni kutokea intelligence sources za beberu?

"It is not a matter of if, but when."

3. Hudhani kuwa pafukapo moshi (siyo Kilimanjaro), Pana moto?
 
Sema hawa Israel watakuja kujuta siku Moja ayaa ngoja tuone

Uchokozi umewajaa hadi unawakera hata walio amua kujitia hamnazo?!

IMG_20240409_184806.jpg
 
1. Zipo jitihada nyingi za kheri kuzuia Shari. Ugumu uliopo uko wazi:

View attachment 2960775

2. Hata hivyo wanayo kheri kuu walio wapatanishi na wenye kuipigania amani pasipo kukoma:

View attachment 2960565

3. Kumbe kipi kilicho bora zaidi, binadamu apitishwapo kwenye lindi la mauti?

View attachment 2960549

4. Hadi pale Iran atakapothibisha vinginevyo, kazi ingalipo:

View attachment 2960557

5. Si kwa Natenyahu, bali kwa waliomo na wasio kuwamo.
Nini kinasababisha hii tension ya vita ilihali US inasema suspected attackkufanywa na Israel?
Je Iran wana uhakika gani kama Israel ndo ilishambulia Ubalozi wao?
 
Nini kinasababisha hii tension ya vita ilihali US inasema suspected attackkufanywa na Israel?
Je Iran wana uhakika gani kama Israel ndo ilishambulia Ubalozi wao?

1. Kwani umesikia Kuna popote duniani wakiwamo washirika wake hata wameonyesha tashwishi kwenye Hilo?

2. Kwani wewe si wa kwanza duniani kujaribu kuonyeshea shaka hiyo?

3. Hudhani Kuwa hata mwisiraeli atakuwa anakushangaa wewe kujaribu kumkanushia?

4. Kwani umemsikia yeye akibisha?

5. Au usemi huu ni mgeni kwako?

"qui tacet consentire videtur (he who is silent seems to consent)"

Kwa maana yake kamili kuwa, "silence gives consent" kizimbani huko!
 
“We also want to address the Iranian threat to launch a significant – they’re threatening to launch a significant attack in Israel,” Biden said. “As I told Prime Minister Netanyahu, our commitment to Israel’s security against these threats from Iran and its proxies is ironclad. Let me say it again, ironclad. We’re gonna do all we can to protect Israel’s security.”

Marekani ni kama Ibilisi, anakuahidi msaada, mambo yakiwa Magumu anasepa. Ukraine atakuwa kajifunza kitu.
 
1. Kwani umesikia Kuna popote duniani wakiwamo washirika wake hata wameonyesha tashwishi kwenye Hilo?

2. Kwani wewe si wa kwanza duniani kujaribu kuonyeshea shaka hiyo?

3. Hudhani Kuwa hata mwisiraeli atakuwa anakushangaa wewe kujaribu kumkanushia?

4. Kwani umemsikia yeye akibisha?

5. Au usemi huu ni mgeni kwako?

"qui tacet consentire videtur (he who is silent seems to consent)"

Kwa maana yake kamili kuwa, "silence gives consent" kizimbani huko!
Kikubwa nimeshangazwa na kauli ya marekani kuwa Israel anatuhumiwa kushambulia wakati ameshambulia kweli
 
1. Weka source yote Ili tuone na tarehe zake.

US restricts travel for employees in Israel amid fears of Iran attack

2. Kwamba wanukuliwa hapa ni kutokea intelligence sources za beberu?

"It is not a matter of if, but when."

3. Hudhani kuwa pafukapo moshi (siyo Kilimanjaro), Pana moto?
President Biden has stated that US support for Israel is "ironclad" and raised the prospect of America becoming directly involved if war were to break out between Israel and Iran.
 
President Biden has stated that US support for Israel is "ironclad" and raised the prospect of America becoming directly involved if war were to break out between Israel and Iran.

Ulielewa iliombwa source ya kuwahusu nini? Acha kukuruka, rejea kujiridhisha; Mrejesho, utapendeza zaidi.
 
Ningetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake

Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear

Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k

Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo

Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Nchi za Kiislam hazinatofauti na mashabiki wa Yanga na simba.

Wao huishia kubishana na kutambiana ilhal wachezaji wanaumia uwanjani
 
umeongea ukweli kabisa na ndio ipo hivyo siku iran akijichanganya hakuna rangi ataacha kuona.

NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie wasifu wangu na unisaidia ktk hitaji langu la ajira.
Mimi ni kijana mchapakazi na mwaminifu, miaka 32, makazi yangu Dar es Salaam. Nina shahada ya utawala, na uzoefu wa miaka 8 katika usimamizi wa miradi, utafiti, data entry, na usimamizi wa mitandao ya kijamii, pia nina ujuzi na uzoefu kwenye customer care, masoko, na mauzo. Naweza kusaidia katika kuandika maandiko mbalimbali ya kiofisi, miradi, tafsiri, na kubuni nakutengeneza tovuti kwa ubora.
Ninaomba fursa ya ajira na nipo tayari kufanya kazi mara moja mahali popote nchini.
Nipigie/text kwa 0769 055050. Asante!
Mkuu, kwanza hongera kwa ujasiri wako huu wa ajabu na wa kianaume!

Nimejikuta kwenye hali ya huzuni, lakini pia kukustajabia jinsi usivyopenda ukae bila kazi huku ukibaki kuumiza akili na moyo wako kwamba Itakuweje

Hongera kwa ujasiri huu, mimi nikuahidi tu kuwa, nitalibeba hili na pia nitakuombea mkuu

Mungu anayejua nafas ilipo, atakufungulia njia na wepesi wa kuifikia nafasi yako unayoihitaji

Naamini, utafanikiwa, ni suala la muda tu!
 
Nchi za Kiislam hazinatofauti na mashabiki wa Yanga na simba.

Wao huishia kubishana na kutambiana ilhal wachezaji wanaumia uwanjani

Huna lolote la kusema kuzihusu za kikristo au za kina sisi kama hawa?

IMG_20240411_201945.jpg
 
Back
Top Bottom