Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

IDF wanajibu

After over 40 rocket launches from Lebanon crossed into Israeli territory on Friday, the IDF responded by striking the sources of fire. No injuries were reported in Israel as a result of the rocket fire.

Taarifa za kijeshi si huwa siri? Tangu lini nani kaanza kusema ukweli wa maswahiba yaliyomsibu?

IMG_20240414_085748.jpg
 
Ningetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake

Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear

Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k

Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo

Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Vita waachie wajinga,mchina anawaza uchumi tu
 
Sasa 99% zimeshushwa kuna kazi hapo 😂😂😂😂.

Sikutegemea Yale makombora ya Iran mnayoyasifu kila sifu yameshushwa kama nzige.

Hiyo 99% asemaye ni mlengwa na wewe wamwamini? Tena uharibifu kuwa ni mdogo kwenye kambi ya jeshi alikokwaruzwa kidogo mtoto mdogo?

Labda kama hukupata kumsikia jiwe akidai meli kwenda bagamoyo amewapa jeshi!
 
Hiyo 99% asemaye ni mlengwa na wewe wamwamini? Tena uharibifu kuwa ni mdogo kwenye kambi ya jeshi alikokwaruzwa kidogo mtoto mdogo?

Labda kama hukupata kumsikia jiwe akidai meli kwenda bagamoyo amewapa jeshi!
Bhas leta wewe ushahidi tuone, mbona simple tu.
 
Bhas leta wewe ushahidi tuone, mbona simple tu.

Kwa hiyo unategemea apiganaye kukiri kwa adui kuwa ngumi imemwingia vilivyo "ku-bu-gosha?"

Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel, ulimwengu ulikuja kujua miaka kadhaa baadaye.

Tuseme Yuko vizuri, huku kulia lia, Kulikoni?

IMG_20240414_080019.jpg

Kwani alipo beep Damascus alitegemea Nini? Haya Sasa wamepiga kutokea Tehran, majibu tafadhali.
 
Kwa hiyo unategemea apiganaye kukiri kwa adui kuwa ngumi imemwingia vilivyo "ku-bu-gosha?"

Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel, ulimwengu ulikuja kujua miaka kadhaa baadaye.

Tuseme Yuko vizuri, huku kulia lia, Kulikoni?

View attachment 2963033
Kwani alipo beep Damascus alitegemea Nini? Haya Sasa wamepiga kutokea Tehran, majibu tafadhali.
Kumbe Israel kuna Pentagon?! 😂

Israel iliua majenerali 7 wa Iran, je Iran imeua nani huko Israel?! 😂😂😂
 
Kumbe Israel kuna Pentagon?! 😂

Israel iliua majenerali 7 wa Iran, je Iran imeua nani huko Israel?! 😂😂😂

Tanzania Kuna pentagon, white house, Hadi air force 1; iwe Israel ndugu? Huko ndiko "etat major" yakhe kama hujui. Kumbe wewe mawazo yako iko kwenye ma polygon yakiwamo triangle peke yake?

Beberu anasema: "grow up, men!"
 
Huko ulipopata taarifa kuwa 99% ya mabomu na drones zimekuwa intercepted umeomba ushahidi!?
Au unachagua taarifa za kuomba ushahidi?

Ndiyo akili za kwetu Buza hizo kudhani vita ni cinema na Rambo alikuwamo.
 
Back
Top Bottom