Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,462
- 9,457
AmIna. AjeKwahyo kipindi hiki anafurahi tuu wakati watu wanauana???
Better arudi hata Leo!!
AmIna. AjeKwahyo kipindi hiki anafurahi tuu wakati watu wanauana???
Better arudi hata Leo!!
Kwahiyo Israel aendelee kuuwa wa Iran sio, tena kwenye balozi zao, halafu akaushe tu!Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo
Vita jamani vita si nzuri wazeeiya.Huwa hawamaanishi wanachosema. Hapo ndipo kwenye kuingizana chaka kulipo:
View attachment 2961678
View attachment 2961680
View attachment 2961681
View attachment 2961683
Vita jamani vita si nzuri wazeeiya.
Isikie kwa jirani tu. usiombe ikapiganwa sebuleni kwako
IDF wanajibu
After over 40 rocket launches from Lebanon crossed into Israeli territory on Friday, the IDF responded by striking the sources of fire. No injuries were reported in Israel as a result of the rocket fire.
Sasa 99% zimeshushwa kuna kazi hapo 😂😂😂😂.Taarifa za kijeshi si huwa siri? Tangu lini nani kaanza kusema ukweli wa maswahiba yaliyomsibu?
View attachment 2962970
Vita waachie wajinga,mchina anawaza uchumi tuNingetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake
Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear
Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k
Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo
Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Sasa 99% zimeshushwa kuna kazi hapo 😂😂😂😂.
Sikutegemea Yale makombora ya Iran mnayoyasifu kila sifu yameshushwa kama nzige.
Bhas leta wewe ushahidi tuone, mbona simple tu.Hiyo 99% asemaye ni mlengwa na wewe wamwamini? Tena uharibifu kuwa ni mdogo kwenye kambi ya jeshi alikokwaruzwa kidogo mtoto mdogo?
Labda kama hukupata kumsikia jiwe akidai meli kwenda bagamoyo amewapa jeshi!
Bhas leta wewe ushahidi tuone, mbona simple tu.
Kumbe Israel kuna Pentagon?! 😂Kwa hiyo unategemea apiganaye kukiri kwa adui kuwa ngumi imemwingia vilivyo "ku-bu-gosha?"
Saddam alipoisambaratisha pentagon ya Israel, ulimwengu ulikuja kujua miaka kadhaa baadaye.
Tuseme Yuko vizuri, huku kulia lia, Kulikoni?
View attachment 2963033
Kwani alipo beep Damascus alitegemea Nini? Haya Sasa wamepiga kutokea Tehran, majibu tafadhali.
Kumbe Israel kuna Pentagon?! 😂
Israel iliua majenerali 7 wa Iran, je Iran imeua nani huko Israel?! 😂😂😂
Huko ulipopata taarifa kuwa 99% ya mabomu na drones zimekuwa intercepted umeomba ushahidi!?Bhas leta wewe ushahidi tuone, mbona simple tu.
Kabishane na Al JazeeraHuko ulipopata taarifa kuwa 99% ya mabomu na drones zimekuwa intercepted umeomba ushahidi!?
Au unachagua taarifa za kuomba ushahidi?
Huko ulipopata taarifa kuwa 99% ya mabomu na drones zimekuwa intercepted umeomba ushahidi!?
Au unachagua taarifa za kuomba ushahidi?
Wambieni Iran wajichanganye sasa
Israel yupo imara anawatamani sana hao magaidi wa Iran ambao wamejiapiza kuifuta Israel katika uso wa dunia.
Tayari!Wambieni Iran wajichanganye sasa