Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,361
- 11,246
Marekani imefanya utafiti na kugundua ya kuwa jumla ya bataliani 5 za jeshi la IDF zilikuwa zikiwafanyia uhalifu mkubwa wapalestina kabla kuzuka vita vya Gaza.
Miongoni mwa bataliani hizo ni ile ya wayahudi wahafidhina la Netzah Yehuda ambayo ilihusika na kumuua mpalestina Omar Assad, ambaye hawakujua alikuwa na uraia wa Marekani.
Uhalifu huo ulifanyika mnamo mwezi Januari 2022. Bataliani hiyo inatarajiwa kuwekewa vikwazo na serikali ya Marekani huku ikijadili namna ya kuziadhibu balaliani 4 zilizobaki.
Miongoni mwa bataliani hizo ni ile ya wayahudi wahafidhina la Netzah Yehuda ambayo ilihusika na kumuua mpalestina Omar Assad, ambaye hawakujua alikuwa na uraia wa Marekani.
Uhalifu huo ulifanyika mnamo mwezi Januari 2022. Bataliani hiyo inatarajiwa kuwekewa vikwazo na serikali ya Marekani huku ikijadili namna ya kuziadhibu balaliani 4 zilizobaki.