Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,497
- 5,533
Ilikuwepo ila haikutambulika.Dunia inaenda kwa kasi sana,kumekua na jinsia namba 3 sasa transgender!
Ilikuwepo ila haikutambulika.Dunia inaenda kwa kasi sana,kumekua na jinsia namba 3 sasa transgender!
Jeshi lenu la Tanganyika lina mashoga wengi tu. I know them in person, as a matter of fact.Ni ujinga sana kuingiza jeshini mashoga.. huwezi kuwa na jeshi lenye mafanikio ukiwa na mashoga wa kutosha katika jeshi
Huu sasa ni uzushiJeshi lenu la Tanganyika lina mashoga wengi tu. I know them in person, as a matter of fact.
Ni vile tu hawa wazungu wamekuzwa katika kusimamia ukweli na kuepuka unafiki unafiki.
Na hata tukisema tuamini kuwa jeshi la Tanganyika halina mashoga, bado haliwezi japo kushika nafasi ya kumi kutoka mwisho katika majeshi bora duniani, achilia mbali Afrika.
Hapo jibu liko wazi, aliyekuwa sahihi ni TRUMP. Tena kwa mtu nwenye mamlaka alitakiwa aende mbali zaidi,wanaotoa hizo huduma wauliwe na waliofanyiwa pia wauliwe.Jurjani kwenye hili nani alikuwa/yupo sahihi kwa mtazamo wako?
Trump? Or Biden?
Hapo ndio watajipendekeza kweli kweli.Chadema wamefurahi sana Trump kuindolewa na kuwekwa Biden, mwana democrasia mwenzao.
Nilitegemea hili kabisa kutoka kwako.Haoa jibu liko wazi, aliyekuwa sahihi ni TRUMP. Tena kwa mtu nwenye mamlaka alitakiwa aende mbali zaidi,wanaotoa hizo huduma wauliwe na waliofanyiwa pia wauliwe.
Nashukuru sana kwa kunijua.Nilitegemea hili kabisa kutoka kwako.
Jamani kuna wakati inabidi muache ujuaji. Mjifunze kuwa watazamaji tu ili muendelee kujifunza zaidi.
Kwanza, transgender sio shoga. Ni mtu aliyebadili jinsia.
Pili, Trump hakuzuia mashoga jeshini. Aliwazuia transgenders.
Tatu, transgenders waliozuiwa ni wale ambao walikuwa bado wapo kwenye matumizi ya madawa. Gharama zao zilikuwa kubwa.
Nne, usilazimishe ujuvi usio kuwa nao. Kuokoteza okoteza habari huko na wewe unajifanya mwerevu na mchambuzi!