akiwepo nyani ng'abu USA babyWenye ngozi nyeusi wanadhalilika sana Marekani
Not only in physics but also in real life.To every action there is an equal and opposite reaction
baadhi ya maTangazo ya kazi kwenye nchi za watu yanaandikwa kabisa black dont apply.Acha matusi. Ukweli ni kwamba watu weusi wananyanyasika sana kote duniani. Afadhari Marekani wanapiga kelele, lakini kwenye mabara mengine kuna ubaguzi wa kimya kimya. Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi kama huo. Kwenye job market au social service na vitu kama hivyo watu weusi wanawekewa ngumu sana. Afadhari mimi nikichoka narudi kwetu, je hawa weusi wazawa wa hapa je?
Warudi kwenye asili yao Africa babu zao walipozaliwa miaka hiyoooo elfu lela ulelaWenye ngozi nyeusi wanadhalilika sana Marekani
Du! ulishawah kupigwa ngumi ya jichoAkikupiga ngumi ya jicho nawe mpigie ya sikio..........
Wewe umeelewa..alouliza swali kauliza ili aanzishe ligi ya kipumbavu wakati ukweli unajulikana.Acha matusi. Ukweli ni kwamba watu weusi wananyanyasika sana kote duniani. Afadhari Marekani wanapiga kelele, lakini kwenye mabara mengine kuna ubaguzi wa kimya kimya. Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi kama huo. Kwenye job market au social service na vitu kama hivyo watu weusi wanawekewa ngumu sana. Afadhari mimi nikichoka narudi kwetu, je hawa weusi wazawa wa hapa je?
Maisha hata hapa home yapo.Warudi kwenye asili yao Africa babu zao walipozaliwa miaka hiyoooo elfu lela ulela
akiwepo nyani ng'abu USA baby
Warudi kwenye asili yao Africa babu zao walipozaliwa miaka hiyoooo elfu lela ulela
sasa utamuuaje ili hali na ushakufa tayari?Mimi ukiniuwa na wewe lazma nikuue