Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Wakuu wiki iliyopita hapa nchi kulizuka mjadala mkubwa sana wa Tanzania kuwa miongoni mwa zitakazowekewa travel ban na nchi ya Marekani chini ya Rais mtukutu Trump.
Zaidi taarifa hizo zilidai kuwa kufika Jumatatu ya tarehe 27 Marekani itakuwa imetoa list kamili ya nchi zilizopigwa ban na sababu za vikwazo hivyo.
Mimi kama Mtanzania, natamani kujua hali inaendeleaje huko. Maana leo ni Jumatano na sijasikia kitu chochote kutokea huko Marekani.
Je tumepigwa vikwazo au ni propaganda tu zinazoanzishwa na upinzani uchwara dhidi ya serikali ya jiwe hapa nchini?
Zaidi taarifa hizo zilidai kuwa kufika Jumatatu ya tarehe 27 Marekani itakuwa imetoa list kamili ya nchi zilizopigwa ban na sababu za vikwazo hivyo.
Mimi kama Mtanzania, natamani kujua hali inaendeleaje huko. Maana leo ni Jumatano na sijasikia kitu chochote kutokea huko Marekani.
Je tumepigwa vikwazo au ni propaganda tu zinazoanzishwa na upinzani uchwara dhidi ya serikali ya jiwe hapa nchini?