Makamu wa Rais wa Marekani kuanza ziara Tanzania kesho, dondoo kadhaa kuzijua

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Na Bwanku Bwanku.

Wakati huu, Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Harris akitarajia kuanza ziara yake nchini Tanzania siku ya kesho Jumatano Machi 29, 2023, historia ya mahusiano ya Nchi hizi mbili ni ya kusisimua sana ikianza mwaka 1961, miaka 62 iliyopita.

Ni ziara ya kimkakati ya kuendeleza mashirikiano na Taifa ikijikita kuendeleza mahusiano katika maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula, ongezeko la idadi ya Vijana, kukutana na Wasanii wa Afrika na Tanzania ili kuongea nao na kujua namna bora ya kufikisha mziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.

Ni ziara inayoendelea kuweka alama ya kazi kubwa anayoendelea kuifanya Rais Samia Suluhu Hassan katika kufungua Nchi kiuchumi na kuimarisha mahusiano ya kimataifa yanayoshusha Viongozi wakubwa kama hawa wa kidunia kuja kufungua zaidi uchumi wetu.

Kwa mujibu wa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Marekani imewekeza zaidi ya Trilioni 11 kwenye miradi mbalimbali hapa Tanzania ambayo imetoa ajira zaidi ya 50,000 kwa Watanzania ambapo kwa ziara hii ya Makamu wa Rais, itazidi kuimarisha uhusiano huu wenye faida kubwa na kufungua zaidi fursa za uwekezaji na biashara kati ya Nchii hizi mbili.

Tukumbuke, Kiongozi mkubwa kama huyu wa Marekani anapokuja nchini, anakuja na ujumbe mkubwa (delegation) iliyo na Wawekezaji wakubwa wa Marekani, Wafanyabiashara na makundi mengine makubwa yanayoangalia maeneo ya uwekezaji na biashara na mwisho Taifa kupata uwekezaji mkubwa unaofungua ajira zaidi, uchumi na maendeleo.

IMG-20230328-WA0002.jpg

255715114612_status_2a1c3a9a4e9740ae8b6b8b5bb051cb4a.jpg
255769817250_status_7138159b2a19417ea07fb04aba08f7ae.jpg
 
Akazie mila na tamaduni zetu.
Akazie vilevile, kuwa tuna maadili yetu. Biashara tunataka na uwekezaji tunataka, walakin usiwe wa upande mmoja.
 
Akazie mila na tamaduni zetu.
Akazie vilevile, kuwa tuna maadili yetu. .
Mna maadili gani nyie, wacha ngonjera! Kwanza hayo maadili yameandikwa kwenye kitabu gani nikayasome?

Ati akazie maadili??? Ushoga?? Yaani kati ya yote ya msingi, umeona samia ajikite kuzungumzia mikundu ya watu??

Kwamba watu waache kufirana? Hizi akili za wapi?
 
Mna maadili gani nyie, wacha ngonjera! Kwanza hayo maadili yameandikwa kwenye kitabu gani nikayasome?

Ati akazie maadili??? Ushoga?? Yaani kati ya yote ya msingi, umeona mama ajikite kuzungumzie mikundu ya watu??

Kwamba watu waache kufirana? Hizi akili za wapi?
Una hasira sana.
Umesahahu daku leo?
Hayo yote uliyoorodhesha ni yako.
Wacha nicheke. Unadharau sana Ati tuna maadili gani? Tumbafu kabisa
 
Maadili ya kukalia chupa za bia kwe vigodoro na club za usiku na kutiana madole mnaakili za kushikiwa kweli mnamaadili gani embu toeni ngonjera zenu zilo kosa hoja
Ulishawahi kuwauliza Manesi wa Hospitali uliyozaliwa waliona nini?
Je Unafikiri kusingekuwepo na maadili ungetokea wewe au Chupa?
 
Na Bwanku Bwanku.

Wakati huu, Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Harris akitarajia kuanza ziara yake nchini Tanzania siku ya kesho Jumatano Machi 29, 2023, historia ya mahusiano ya Nchi hizi mbili ni ya kusisimua sana ikianza mwaka 1961, miaka 62 iliyopita.

Ni ziara ya kimkakati ya kuendeleza mashirikiano na Taifa ikijikita kuendeleza mahusiano katika maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabianchi, usalama wa chakula, ongezeko la idadi ya Vijana, kukutana na Wasanii wa Afrika na Tanzania ili kuongea nao na kujua namna bora ya kufikisha mziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.

Ni ziara inayoendelea kuweka alama ya kazi kubwa anayoendelea kuifanya Rais Samia Suluhu Hassan katika kufungua Nchi kiuchumi na kuimarisha mahusiano ya kimataifa yanayoshusha Viongozi wakubwa kama hawa wa kidunia kuja kufungua zaidi uchumi wetu.

Kwa mujibu wa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Marekani imewekeza zaidi ya Trilioni 11 kwenye miradi mbalimbali hapa Tanzania ambayo imetoa ajira zaidi ya 50,000 kwa Watanzania ambapo kwa ziara hii ya Makamu wa Rais, itazidi kuimarisha uhusiano huu wenye faida kubwa na kufungua zaidi fursa za uwekezaji na biashara kati ya Nchii hizi mbili.

Tukumbuke, Kiongozi mkubwa kama huyu wa Marekani anapokuja nchini, anakuja na ujumbe mkubwa (delegation) iliyo na Wawekezaji wakubwa wa Marekani, Wafanyabiashara na makundi mengine makubwa yanayoangalia maeneo ya uwekezaji na biashara na mwisho Taifa kupata uwekezaji mkubwa unaofungua ajira zaidi, uchumi na maendeleo.
Vipi atasimama barabarani kuongea na wabongo kama Samia!?
 
Akazie mila na tamaduni zetu.
Akazie vilevile, kuwa tuna maadili yetu. Biashara tunataka na uwekezaji tunataka, walakin usiwe wa upande mmoja.
Tutakachokusikia ni kile watakacho tusikie...wasichota tusikie hatutasikia kabisa japo kitakuwa kimeamuliwa
 
Back
Top Bottom