Unajua mkiendeleza hivi mnavyowazungumzia hao watu weusi huko basi tutakuwa tunabariki uonevu dhidi yao kisa ni weusi, kwamba ukihoji unaambiwa we huwajui hao hawafuati sheria sijui wahalifu.
Watu weusi hawaonewi U.S. wamezoea kutilisha huruma tu. Huwezi amini South Asian, na waarabu ndio watu wanaobaguliwa Zaidi U.S lakini husikii kabisa masikitiko, wapo Bzy wanaendelea kupambanana.