Marekani ina uhaba wa wataalamu waliobobea kwenye kutengeneza bidhaa za 'high technology'

Marekani ina uhaba wa wataalamu waliobobea kwenye kutengeneza bidhaa za 'high technology'

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
8,101
Reaction score
23,659
Mara kadhaa kwenye hili jukwaa na la tech nimekuwa na mijadala na watu wa Pro-Americanism.

Huwa nawaambia Marekani ina uhaba wa skilled personnel hasa katika kutengeneza bidhaa ambazo ni complex au za high tech wengi hubisha.

Uzuri ni kuwa Trump ni kama saa mbovu kuna wakati huwa inasema kweli:

"Wakati Makampuni ya Kigeni ambayo yanatengeneza bidhaa tata sana, mashine na mambo mengine mbalimbali, yanapokuja Marekani kufanya uwekezaji mkubwa, nataka walete watu wao waliobobea kwa muda ili kuwafundisha na kuwafunza watu wetu jinsi ya kutengeneza bidhaa hizi za kipekee na ngumu na kurudi katika nchi yao."
– Donald Trump

Najua hilo si rahisi kutokea, ok well labda tuseme wageni wakafanya uwekezaji na wakawapa mafunzo Wamarekani.

Je, hapo Mr MAGA atakuwa amerudisha manufacturing? Jibu ni HAPANA.

Bado Marekani ina shida nyingine kubwa katika manufacturing nayo ni supply chain.

Hiki ndicho kimeifanya China iwe global industrial powerhouse "strong supply chain."

Je, Trump amejipangaje kwa hilo? Tutakuwepo
 
Screenshot_20250916-054555.jpg
Screenshot_20250916-054717.jpg
Screenshot_20250916-054801.jpg
Screenshot_20250916-054902.jpg
Screenshot_20250916-055051.jpg
Screenshot_20250916-055153.jpg



20250916_133133.jpg
 
Wakati huo wachina hapa kwetu wanatembeza vitorori vya Ice Cream na kuuza Yebo Yebo za Afu tatu...
Miaka ya nyuma wakati China inatengeneza midoli na bidhaa za low tech kama cherehani, baiskeli, footware, clothing n.k Marekani haikuwa na hofu na China kabisa.

Ila China ilipoanza kutengeneza bidhaa za high tech na kutishia utawala wa Marekani, nchi za Ulaya na Japan kwenye sci-tech, unajua kilichofuata?

Trade, tech and tariffs wars dhidi ya China zikaanza
 
Hizo ndo fursa wachina waje kiwanja waache kulipwa peanuts huko kwao. Janitor kiwanja analipwa zaidi ya senior engineer China na full benefits.
 
Hizo ndo fursa wachina waje kiwanja waache kulipwa peanuts huko kwao. Janitor kiwanja analipwa zaidi ya senior engineer China na full benefits.
Tatizo la Marekani ni living cost sio kibunda unachokusanya.

Halafu kama ulikuwa haujui ni kuwa scientists wengi wa China waliokuwa Marekani wanarudi kwa kasi sana China kwa sababu za kiusalama na nyinginezo. Hamna kipya kilichopo Marekani hakipo China kwa sasa.

Juzi kati wataalamu kutoka Korea Kusini wa Hyundai-LG wamerudi kwao ni kwa sababu ya sera kandamizi "ICE" ya Trump.

Nimeona hata raisi wa Korea Kusini ni kama amekatishwa tamaa na kitendo hicho.

Nani atakuwa na hamu ya kwenda kuwekeza au kuwatrain Wamarekani?

Wana viburi halafu wana low technical know how kwenye manufacturing.

Naona Trump yamemfika hapa kaamua kusema ukweli anahitaji msaada wa nchi zingine.
 
Tatizo la Marekani ni living cost sio kibunda unachokusanya.

Halafu kama ulikuwa haujui ni kuwa scientists wengi wa China waliokuwa Marekani wanarudi kwa kasi sana China. Kwa sababu za kiusalama na nyinginezo, hamna kipya kilichopo Marekani hakipo China kwa sasa.

Juzi kati wataalamu kutoka Korea Kusini wa Hyundai-LG wamerudi kwao ni kwa sababu ya sera kandamizi "ICE" ya Trump.

Nimeona hata raisi wa Korea Kusini ni kama amekatishwa tamaa na kitendo hicho.

Nani atakuwa na hamu ya kwenda kuwekeza au kuwatrain Wamarekani?

Wana viburi halafu wana low technical know how kwenye manufacturing.

Naona Trump yamemfika hapa kaamua kusema ukweli anahitaji msaada wa nchi zingine.
Marekani sio sehemu salama kwa wakati huu, vurugu na kupigana risasi ovyoovyo ni mambo ya kawaida.
 
Marekani sio sehemu salama kwa wakati huu, vurugu na kupigana risasi ovyoovyo ni mambo ya kawaida.
Umesema vyema.

Hata sheria za vibali vya kazi ni hovyo sana Marekani.

Na pia ukiwa mgeni kufuatiliwa na maafisa au kupelelezwa hasa ukiwa unafanyia mishe zako au mwajiriwa kwenye sekta ya science na technology
 

Sahihi wanarudi

Marekani chini ya Trump imeamua kuja na sera ya H1B visa ili kuwavutia expertise people kutoka mataifa yenye wahitimu wengi wa Science Technology Enginering na Maths (STEM) kama India

Hivi karibuni Trump aliruhusu wanafunzi 600,000 wa China wakasome vyuo vya sci & tech Marekani

Changamoto ya Marekani majanja wengi wazawa wanakimbilia kusoma Humanities mbanga za STEM wanazikimbia
 
Sahihi wanarudi

Marekani chini ya Trump imeamua kuja na sera ya H1B visa ili kuwavutia expertise people kutoka mataifa yenye wahitimu wengi wa Science Technology Enginering na Maths (STEM) kama India

Hivi karibuni Trump aliruhusu wanafunzi 600,000 wa China wakasome vyuo vya sci & tech Marekani

Changamoto ya Marekani majanja wengi wazawa wanakimbilia kusoma Humanities mbanga za STEM wanazikimbia
Hilo taifa linatengeneza kizazi cha ajabu sana huko nchini kwao, huu mwendo wao ni suala la muda tu, kwenda kwenye hard decline
 
Miaka ya nyuma wakati China inatengeneza midoli na bidhaa za low tech kama cherehani, baiskeli, footware, clothing n.k Marekani haikuwa na hofu na China kabisa.

Ila China ilipoanza kutengeneza bidhaa za high tech na kutishia utawala wa Marekani, nchi za Ulaya na Japan kwenye sci-tech, unajua kilichofuata?

Trade, tech and tariffs wars dhidi ya China zikaanza
Walibweteka
Wanapenda kusoma vitu rahisi rahisi
 
Kuna madogo wako Marekani hawajui jinsia yao kwa sababu ya kutapakaa mafundisho kuwa kuna jinsia zaidi ya mbili. Kuna mambo ya ajabu sana Marekani
wanahitaji dikteta mmoja tu awarudishe kwenye reli
 
Sio kosa mkuu nchi kua na upungufu wa wataalamu flani wa fani flani. Marekani hajasema hana, ila ana upungufu. Nchi zote Duniani zina upungufu, hakuna nchi ina wataalamu wote wa kujitosheleza kwenye kila kitu.

Kwenye wizi wa teknolojia hujawahi kusikia Marekani kaiibia china, bali china ndio anaiba Marekani.
 
Back
Top Bottom