Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Mshana Jr,

Nimenyanyua mikono juu..., nakuitikia AMEEN!! Mwenyezi Mungu asikie ... na alitimize!!

images
 
Mnaopenda kujua mrusi alidukua nini ndo mtashangaa mkijua,

kumbe hilaly na group walikuwa wanatoa makafara watoto wadogo wa kike,wanafanya ibada za kishetani.
Nenda thetruthseeker.com

Ukajisomee ushangae.
Mwenyewe hilaly anadai ni fake news.

Lakini kuna ushahidi mkubwa tu wa msimamizi wake wa kampeni amehusika kuteka watoto,kuwanajisi na kisha wanauliwa
 
Kwa kweli big brother huko mbeleni mambo yanaweza kuwa magumu kwake .... ingawa bado ana pumzi ndefu na ataendelea kusumbua kwenye nyanja za kichumi, kiushawish na kijeshi katika kizazi hiki lakini kwe kizazi kijacho nadhani naye atashuka kuwa wa kawaida kama wenzake kina Japan na German na Russia amabo nao walisumbua pia sidhan kama China ataweza kurise kuwa superpower kwa kuwa mataifa makubwa kama Russia, Japan, US na India watampa wakati mgumu kwa kuwa wote watakua na ambition kama za kwake .. pengine dunia itabaki kuwa na regional powers tu enzi za superpower zitakuwa zimekwisha na nadhani usalama wa dunia utakuwa mkubwa zaidi kwakuwa kutakuwa na balance of power
 
siasa za marekani su kama bongo,amn kuwa hakuna taifa lingne kitakalokuwa kubwa zaidi ya marekan
Marekani ndio superpower ya mwisho duniani ............sasa hivi dunia inakoeleke mataifa mengi yatakuwa na nguvu na hakutakuwa na mtu atakayeandika equation za dunia peke yake tena
 
Ni kweli Marekani itaanguka lakini anguko lake bado.

Swali taifa gani kwa sasa lipo juu ya marekani kwa nguvu za kiuchumi na kijeshi?? Utaona Marekani bado iko namba one both economically na military

Marekani itaanguka lakini baadae sio miaka hii michache
 
Ni kweli marekani itaanguka lakini anguko lake bado.
Swali taifa gani kwa sasa lipo juu ya marekani kwa nguvu za kiuchumi na kijeshi?? Utaona marekani bado iko namba one both economically na military.
Marekani itaanguka lakini baadae sio miaka hii michache.
Kijeshi imedrop kidogo, kiuchumi imeshuka mno
 
Mnaopenda kujua mrusi alidukua nini ndo mtashangaa mkijua,

kumbe hilaly na group walikuwa wanatoa makafara watoto wadogo wa kike,wanafanya ibada za kishetani.
Nenda thetruthseeker.com

ukajisomee ushangae.
Mwenyewe hilaly anadai ni fake news.
Lakini kuna ushahidi mkubwa tu wa msimamizi wake wa kampeni amehusika kuteka watoto,kuwanajisi na kisha wanauliwa
Haya majitu ni makatili kweli kweli . .. halafu walikuwa wameturoga fikra zetu tunawaona kama vimungu mtu mpaka tukawapa jina la WAZUNGU = THE GLORIFIED .. kampuni.. afanalek enough is enough . .. kudadeki !
 
Back
Top Bottom