Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

Nimenyanyua mikono juu..., nakuitikia AMEEN !! Mwenyeezi Mungu asikie... na alitimize!!
images
Aaaamen
 
Mnaopenda kujua mrusi alidukua nini ndo mtashangaa mkijua,

kumbe hilaly na group walikuwa wanatoa makafara watoto wadogo wa kike,wanafanya ibada za kishetani.
Nenda thetruthseeker.com

ukajisomee ushangae.
Mwenyewe hilaly anadai ni fake news.
Lakini kuna ushahidi mkubwa tu wa msimamizi wake wa kampeni amehusika kuteka watoto,kuwanajisi na kisha wanauliwa
 
Haya majitu ni makatili kweli kweli . ..alafu walikuwa wameturoga fikra zetu tunawaona kama vimungu mtu mpaka tukawapa jina la WAZUNGU = THE GLORIFIED . .kampuni. .afanalek enough is enough . ..kudadeki !
 
Mbona una hoja nyepesi kama za mashabiki wa Hilary?
Marekani inaweza kupotea ktk ramani kama Dola ya Persia, Greece na Rome.
Ila sababu zako hazina mashiko na ni za kuokoteza.

Kama Trump atafanya alivyoahidi (uteuzi wako unaonesha kama atafanya) basi tarajia Amerika yenye nguvu sana kuliko nyakati za Obama.

Sijaelewa kwa nini Unadhani Marekani ni weak. Au kwa sababu ya udhaifu wa Rais Obama?
 
Mbona una hoja nyepesi kama za mashabiki wa Hilary?
Marekani inaweza kupotea ktk ramani kama Dola ya Persia, Greece na Rome.
Ila sababu zako hazina mashiko na ni za kuokoteza.

Kama Trump atafanya alivyoahidi (uteuzi wako unaonesha kama atafanya) basi tarajia Amerika yenye nguvu sana kuliko nyakati za Obama.

Sijaelewa kwa nini Unadhani Marekani ni weak. Au kwa sababu ya udhaifu wa Rais Obama?
Sasa kama hujaelewa ndugu kama ulivyokiri mwenyewe kwanini uanze kurukaruka kama bisi kikaangoni...ukisikia kuanguaka kwa taifa unadhani ni kitu cha karne moja? Au kilichokuchanganya ni hizo picha za Trump?
 
Sasa kama hujaelewa ndugu kama ulivyokiri mwenyewe kwanini uanze kurukaruka kama bisi kikaangoni...ukisikia kuanguaka kwa taifa unadhani ni kitu cha karne moja? Au kilichokuchanganya ni hizo picha za Trump?
Rhetorics huwa hazina msaada katika majadiliano ya maana. Hakuna sababu uliyotoa ya maana hapo yenye ukweli kuwa Marekani itaanguka kwa sababu hiyo. Sijaelewa kwa nini unadhani kwa sababu dhaifu hizo zina justify hitimisho lako.

Usihamishe magoli. Hakuna mahali nimesema ni kitu cha karne moja au nimesema chochote kuhusu picha za kitoto ulizoweka. Hizo ni picha tu.

Uje na hard facts na sio Blah Blah!
 
Rhetorics huwa hazina msaada katika majadiliano ya maana. Hakuna sababu uliyotoa ya maana hapo yenye ukweli kuwa Marekani itaanguka kwa sababu hiyo. Sijaelewa kwa nini unadhani kwa sababu dhaifu hizo zina justify hitimisho lako.

Usihamishe magoli. Hakuna mahali nimesema ni kitu cha karne moja au nimesema chochote kuhusu picha za kitoto ulizoweka. Hizo ni picha tu.

Uje na hard facts na sio Blah Blah!
Hebu weka basi hizo hard facts kuwa kwasasa marekari haichechemei! Nyuma ya hizo picha unazoita za kitoto zimebeba ukweli mwingi ambao wale diehards wa marekari hawawezi kuona! Si unajua ukipenda chongo huona kengeza?
 
Mi natamani Africa tuungane na kutengeneza mataifa matano tu tukayaita majimbo na tukawa na rais wetu mmoja mwenye nguvu,utaona wazungu watakavyotuamkia shikamoo kila kukicha, UNITE STATE OF AFRICA itatisha
 
Back
Top Bottom