Marehemu Nyaulawa, kuugua mpaka kufa kwake

Kuna cha ajabu hapa. Ni ni lazima uende A level ndo upate degree? lol
RIP Richard Nyaulawa

Kuna vigezo vya aina tatu ili ujiunge na chuo kikuu kama sifa ya kujiunga

1. Direct Entry qulifications kwa maana ya A' leve principal passes
2. Equivalent qualifications (Hapa sio lazima uwe na A level pass; a good diploma with distinction or credit is enough. or a combination of both A' level + Diploma)
3. Mature Age entry (Hapa ni baada ya kufanya na kufaulu mature entry examination inayotolewa na chuo kikuu husika)

Kwa hiyo kuna wanaojiunga Chuo Kikuu bila kupitia A level ili mradi mojawapo ya sifa nilizozitaja hapo juu iwe imetimizwa.
 
RIP Mh. Richard Nyaulawa,
Bwana alitoa na Bwana ametwa Jina la Bwana libarikiwe. Amen.

Poleni wafiwa hasa Mke, watoto na wanafamilia wote wa karibu.

"Maana kwa Mungu wetu miaka elfu machoni pake ni kama siku ya jana ikiisha kupita, na kama kesha la usiku (Zaburi 90:4)
 
Pole sana kwa familia na marafiki wa Nyaulawa.

Nitamkumbuka kama mwana Mbeya ambaye alitumia uwezo na nguvu zake kujaribu kusaidia Mbeya.

Mungu alitoa na sasa amechukua, amen!
 
..kuna siku nilipost hapa kuwa alikuwa mgonjwa sana ...siku hiyo ndio alikuwa amerudishwa kutoka india baada ya juhudi za kumtibu kansa ziliposhindikana....MUNGU AMREHEMU.......!!!

NDUGU WANA JF ..UNAPOONGELEA WATANZANIA WAJASIRIAMALI AGGRESSIVE..WAZAWA..JINA LA RICHARD NYAULAWA ...LITACHOMOZA....
NI MTU ALIYEKUWA HAPENDI KUJIONESHA ..NADHANI ANGEPENDA KUJULIKANA ..ANGEJULIKAANA ZAMANI...SANA..KWANI HUYU AMEANZA KUMILIKI GAZETI KABLA YA MENGI...MOJA YA MAGAZETI YA KWANZA ..MAJIRA NA BUSINESS TIMES....KUNA WAKATI YALIKUWA TOP SELLING.......LAKINI WAANDISHI WAKE AMBAO NA HUMU WAMO...HAWAKUWA NA INSTRUCTIONS ZA KUMTANGAZA TANGAZA.....

ANAMILIKI MAKAMPUNI MENGINE..PIA KWA KUSHIRIKIANA NA WAZAWA WENGINE KAMA MZEE MBUGUNI..na wengine,hawa na wenzao wengine walikuja kuanzisha BENKI YA KWANZA KUMILIKIWA NA WAZAWA........FIRST ADILI BANK...BAADAYE WALIFANIKIWA KUWAUZIA SHARE NSSF..NA BENKI SAA INAITWA ....AZANIA BANKCORP..........

MUHESHIMIWA RICHARD NYAULAWA R.I.P...TUNAWEZA KUMPA HESHIMA LAKINI INAWEZA IKAWA HAITOSHI...KUTOKANA NA TABIA YAKE YA KUWA LOW PROFILE..NINA IMANI KUBWA KUWA MUNGU ATAMNYANYUA KWA NIABA YETU....KAMA MWENYEWE ALIVYOAGIZA KWENYE MAANDIKO..KUWA ATAWAINUA WASIOJIKWEZA!!!!

kweli huyu ndugu alikuwa low profile...Kusema ukweli sikumfahamu wala kumsikia licha ya kuwa niliwai kuwa msomaji mzuri sana wa majira.
May God rest his souls in peace.
Amen.
 
Wenzetu wakristo wanasemaga bwana ametoa na bwana ametwaa

Nawapa pole sana Wakazi wa Jimbo la Mbeya Vijijini na WanaJF walioguswa na huu msiba.

Ingawa huyu Mh wengi wetu tulikua hatumjui sana, kinachonisononesha mi binafsi ni kwamba siku zote wabunge wazalendo ndo wanatutoka sijui ni kwa nini?!. Wabungu walio katika Orodha ya Mafisadi wakubwa 11 wapo hai na wanapumua vizuri. Sijui kwa nini mungu awatangulizi hawa kwanza!

Cha kusikitisha zaidi WanaJF mmoja kati ya wabunge walio katika hiyo Orodha anataka apewe Uenyekiti katika moja ya Jumuiya za CCM. Lakini nimepata faraja baada ya kusikia jina lake limeondolewa.

Richard Nyaulawa Rest in Peace we are coming all soon!
Amin
 
RIP Richard Nyaulawa.

Tulikupenda lakini Bwana amekupenda zaidi. Jina la Bwana liidimiwe. Familia ya Marehemu Nyaulawa, Poleni sana kwa kuondokewa na ndugu yenu. Bwana awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.

Maombi yangu na mawazo yangu yako kwenu.

Shadow
 
Mhe Mbunge wa Mbeya Vijijini Richard Nyaulawa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.

Habari zaidi soma hapa

Mwenyezi Mungu amlaze mahari pema peponi.
 
Wana JF huku tukiwa tunaendelea na msiba wa huyu mheshimiwa wetu, ningependa kutupa mpira mmoja uwanjani. Mnakumbuka kuwa huyu ni mbunge wa tatu kutoka same constituency kufariki? is it just a coincidence or is it a made up phenomenon? mnaoweza jaribuni ku-unlock hii kitu.
 
Umeteseka sana na hii Kansa acha upumzike!Pumzika kwa Amani!
Mungu akulaze mahali pema peponi!
Ameni
 
Atakumbukwa siku zote.

Wafiwa, ndugu, jamaa na marafiki poleni sana. Ni pigo kwa Watanzania.
 
A blow to the Tanzanian news circles.

May all beings attain enlightenment.
 
``February 21, 1995

On the morning of Feb. 21, police arrived at the office of the independent daily Majira and arrested editor (Sam) Makila and publishers (Rashidi) Mbuguni and (Richard Saidi) Nyaulawa. The three were taken to the headquarters of the minister of internal affairs, where they were held for the day and interrogated as to their sources for a Feb. 19 article concerning a loan that the government was taking out in order to buy radar equipment, a loan for which it was allegedly using the Zimbabwe national gold reserve as collateral. They were warned that charges would be pressed if they did not reveal their sources, and on March 9 they were officially charged with sedition and disclosure of state secrets. The trial was postponed at least four times and is still pending. They face up to 10 years in prison if convicted. CPJ protested the charges on July 10.´´*

FEBRUARY 2, 1996

``Tanzanian authorities drop charges of sedition and withholding information against the former editor and publishers of the Kiswahili-language newspaper, Majira. The then-editor of Majira, Sam Makila, and the paper's publishers, Rashidi Mbuguni and Richard Nyaulawa, were detained on February 22, 1995 before being charged in terms of the National Security Act. The police wanted Makila to reveal the source of a story Majira published three days previously exposing plans by the cash-strapped government to spend US$130 million on radar equipment. The court drops the charges because of a lack of evidence by the state.´´**

* Commitee to Protect Journalists, available at (press here)
** Freedom of Expression Institute, available at (press here)

______________________

Marehemu na wenzake walikuwa wa kwanza kuandika ufisadi wa radar. Sijui kama Bungeni aliwahi ku address ufisadi ule, pamoja na sheria za kidikteta za Sedition zilizomuweka kizuizini. I hope Business Times wata cover kikamilifu kazi za maisha ya marehemu, mchapishaji wao. Sidhani.
 
Wana JF huku tukiwa tunaendelea na msiba wa huyu mheshimiwa wetu, ningependa kutupa mpira mmoja uwanjani. Mnakumbuka kuwa huyu ni mbunge wa tatu kutoka same constituency kufariki? is it just a coincidence or is it a made up phenomenon? mnaoweza jaribuni ku-unlock hii kitu.

sijui ni coincidence au nini...maana ndugu nyaulawa kabla ya kuwa mbunge mwaka 2005...alikuwa mfanyabiashara mkubwa anayekimbizana na makampuni yake..lakini baada ya kuwa mbunge kuanzia mwaka 2006...alianza kuugua...na afya yake haikupata kutengemaa tena.....hadi alipogundulika kuwa na kansa ..amekuwa akitibiwa na kupata nafuu hadi anafariki...off and on....

anyway....tumsifu Mungu KWA KILA JAMBO!!!!!
 
RIP Nyaulawa. Poleni wafiwa.

Hii habari ya wabunge watatu wa jimbo hilo kufariki kabla ya kumaliza muda wao, inaweza kuzua maswali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom