marehemu kanumba vs jb nani umemkubali

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,351
nmeangalia muvi nyingi sana za. marehem kanumba na kwa ufupi tu huyu jamaa nmemkubali nadhan angekua moto wa kuotea mbal lait angekua hai ila mbali na hapo kuna jamaa anaitwa jb muvi zake nlikua nmeziona chache ila wiki hii nmeangalia kazi zake kibao na nmemkubali kupita maelezo. kwa upande wangu wote nawakubali toa comments zako kuhusu nani unaemkubali
 
Kanumba alikua nomaa si unaona sasa hivi bongo movie ilivyojichokea,wadada wamekosa fursa tena,kina wema wamefungua makampun jina tu hata hayana kazi,the great noma sema Lulu mbayaaaaaa jamani
 
Naona unafananisha maruti na buggati,Kanumba ni buggat na Jb n maruti .Kanumba zaid.
 
Utafananishaje uhai na kifo wewe?Sasa hivi JB mkali sababu yupo hai Kanumba alishakufa tunamkumbuka tuu.Labda useme kanumba na sajuki yupi alikuwa mkali.
 
nmeangalia muvi nyingi sana za. marehem kanumba na kwa ufupi tu huyu jamaa nmemkubali nadhan angekua moto wa kuotea mbal lait angekua hai ila mbali na hapo kuna jamaa anaitwa jb muvi zake nlikua nmeziona chache ila wiki hii nmeangalia kazi zake kibao na nmemkubali kupita maelezo. kwa upande wangu wote nawakubali toa comments zako kuhusu nani unaemkubali

The living against the dead? Au JB ni living dead sis hatujui??
 
Tokea Kanumba afariki hata sijuagi kama kuna kazi zinaendelea kuchezwa.

Ray nae alikua anasafiria nyota ya Marehemu, sasa hivi kazima kama mshumaa.!!!
 
toka kanumba amefariki bongo muvie imekosa ladha na uchangamfu wa zamani. hasa kwa vicent kigosi
 
Utafananishaje uhai na kifo wewe?Sasa hivi JB mkali sababu yupo hai Kanumba alishakufa tunamkumbuka tuu.Labda useme kanumba na sajuki yupi alikuwa mkali.

Aaaaa wapi yaan pamoja na kanumba kufa lakin filamu zake zote hazijafa maana twaziona na filam za hawa wengine wote hazifikii za kanumba hata robo
Kanumba alikua anawachezesha wengine bana kwenye kuigizaa wanaonekana wanajuaaa lakin wako wapi sasa hiv wanagiza hovyo tuuuuuuuu
 
Aaaaa wapi yaan pamoja na kanumba kufa lakin filamu zake zote hazijafa maana twaziona na filam za hawa wengine wote hazifikii za kanumba hata robo
Kanumba alikua anawachezesha wengine bana kwenye kuigizaa wanaonekana wanajuaaa lakin wako wapi sasa hiv wanagiza hovyo tuuuuuuuu
Wewe umeangalia Movie ngapi mpya za JB toka Kanumba amefariki?Inawezekana wewe unamfananisha JB wa enzi za Kanumba ila sasa hivi ni 2013 tunaenda 2014 kwa sanaa yoyote hazitafanana.Sema wewe unamtetea Kanumba bcoz he was your number one.Lakini hata siku moja usifananishe kifo na uhai.Wewe kama huwa unaangalia movie sasa hivi KIBONGO BONGO wanajitahidi japo msafara wa mamba lazima kenge wapo aka mizigo ipo.
 
Wewe umeangalia Movie ngapi mpya za JB toka Kanumba amefariki?Inawezekana wewe unamfananisha JB wa enzi za Kanumba ila sasa hivi ni 2013 tunaenda 2014 kwa sanaa yoyote hazitafanana.Sema wewe unamtetea Kanumba bcoz he was your number one.Lakini hata siku moja usifananishe kifo na uhai.Wewe kama huwa unaangalia movie sasa hivi KIBONGO BONGO wanajitahidi japo msafara wa mamba lazima kenge wapo aka mizigo ipo.


Noooooo
 
Kunumba ni zaidi kwa mambo mengi,kwanza alikuwa anafit kila sehemu akiamua kuigiza kijana mtanashati,mshamba,kichaa kijana wa kijijini au wa mjini,msomi,mjinga,mhuni,kijana mtuliv,pastor pote alikwa anafit sana tu na alikuwa akiuvaa uhalisia mpaka unasema eeh kweli huyu pastor au mshamba lakini Jb sidhani kama ataweza kuigiza kma kichaa au wa kjijini na akafit vilivyo na kuuvaa uhusika kama Kanumba alivyoweza kufanya.
 
jb ni mkali toka kitambo sana hata kanumba (UKA) aliiikuwa haoni ndani labda ufananishe uhandsome.
 
Kanumba alikua nomaa si unaona sasa hivi bongo movie ilivyojichokea,wadada wamekosa fursa tena,kina wema wamefungua makampun jina tu hata hayana kazi,the great noma sema Lulu mbayaaaaaa jamani

Ya jamaa bhna alikuwa ni hatari,sijui alikuwa mchawi,we muangalie aunt ezekiel kwenye young billionaire halaf muangalie na kweny movie nyingine,muangalie wema sepetu kwenye point of no return halaf muangalie kwingine,alikuwa akiwatumiwa wasanii basi anawatumia vilivyo,alikuwa hafanyi makosa yule,sijui nani tena atakuja kuziba pengo lake
 
Jb ndo tasnia yenyewe ni MTU asiye kuwa na makuu nidharau kumlinganisha na marehemu think great b4 posting
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom