Marehemu achaguliwa uongozi wa tawi CCM!

hahahaahhahaaaaaaaaaa...............

Atawaongoza direct from kuzimu kwa kutumia bluetooth loh....ccm kiboko

hahahahahahhahahahhh


kidumu chama cha mapinduzi....
 
Mkuu, hapa tunaleta habari na kuijadili as great thinkers. Nimeweka na source ili kuondoa utata. Sasa kama haikuingii akilini, unatakiwa kuichallenge source! Fungua web ya ipp ulisome hilo gazeti ili upate habari kwa kina! Maneno ya mipasho, sijui kushadadia i'm not used to! Very sorry.
U Great Thinker haushabihiani na discussions bordering on stupidity.
Mkuu get your mental bearings in a proper orientation.
 
Hicho chama kishakufa zamani ndo maana marehemu wanachagua marehemu wenzao!!! Nadhani sijavunja sheria za JF
 
Kwa kweli CCM wakubaliane na ukweli hawana watu na hawa watu wa ngazi ya chini ndio waliowaweka madarakani siku zote
 
Unajua wakati mwingine wana JF wananishangaza sana,taratibu za uchaguzi siku zote zinajulikana iwe ngazi ya ujumbe wa nyumba kumi mpaka Taifa,sasa huyo Marehemu alijinadi vipi na wakati gani mpaka wapiga kura wakampigia kura?,vitu vingine (hasa visivyowezekana) siyo tunapokea tu na kushadadia tutakuja kushadadia mpaka vyenye madhara

Mbona huishangai serikali inayoongozwa na CCM yenye marehemu wanaolipwa mishahara? Yaani marehemu anatuma maombi ya kazi, anaajiriwa na kila mwisho wa mwezi anapanga foleni kupokea mshahara, au uwongo? Filipo hujawahi kusikia ripoti za CAG zinazoanisha jinsi wafanyakazi hewa(maruhani) wanavyopokea mishahara minono kila mwezi? CCM si mchezo ati!
 
Last edited by a moderator:
wala usishangae hata kidogo hiyo ni dalili kuwa ccm inajiandaa kujiunga na wafu huko kuzimu na ndio maana inaanza kuwataja wafu kana kwamba wanaishi.
 
Kwenye KATA yetu uchaguzi umefanyika ingawa hakuna walioomba. Wamepata wenyeviti na viongozi wengine...

Utaratibu uliotumika ni uhuni mtupu. Inaonekana wadau muhimu wameanza kuitosa CCM
 
Hilo ndilo swali nimejiuliza nikakosa jibu! Nashangaa hao marehemu watakisaidia nini chama! Au ndio na wao wanaelekea kaburini aliko!

ukiona hivyo ujue hata waliomchagua nao ni marehemu pia
 
Ila uko used na habari za Wafu kupigiwa kura?
Ukiwa ni sehemu ya Jamii ya Great Thinkers unatakiwa upime na habari yenyewe, je inafanana na uhalisia? siyo ksbb imeandikwa kwenye gazeti na wewe ume'quote source basi ndo tujadili,kuna vitu vya kujadili na vingine siyo vya kujadili,mimi na akili zangu siwezi kujadili "lisilowezekana" kama hilo,jadilini wenyewe...

Anselm sijui niseme umenichekesha au nini sijui.. What I see is that your mind 'operated in slow motion' on this one kwa kweli.. hukujua kama hutakiwi kujadili kitu usichotaka kujadili? Kama hutaki kujadili kitu unachoona cha 'kijinga' au huna mchango wewe acha tu usicomment maana wengine watashangaa kwanini umeandika. We usicomment chochote kama unawaona hawa wajinga achana nao kaa na akili zako au hekima zako pembeni au sio mkuu?
 
Anselm sijui niseme umenichekesha au nini sijui.. What I see is that your mind 'operated in slow motion' on this one kwa kweli.. hukujua kama hutakiwi kujadili kitu usichotaka kujadili? Kama hutaki kujadili kitu unachoona cha 'kijinga' au huna mchango wewe acha tu usicomment maana wengine watashangaa kwanini umeandika. We usicomment chochote kama unawaona hawa wajinga achana nao kaa na akili zako au hekima zako pembeni au sio mkuu?

Unadhan haelewi? Anajitia wazimu tu huyo!
 
Mbona huishangai serikali inayoongozwa na CCM yenye marehemu wanaolipwa mishahara? Yaani marehemu anatuma maombi ya kazi, anaajiriwa na kila mwisho wa mwezi anapanga foleni kupokea mshahara, au uwongo? Filipo hujawahi kusikia ripoti za CAG zinazoanisha jinsi wafanyakazi hewa(maruhani) wanavyopokea mishahara minono kila mwezi? CCM si mchezo ati!
Umenitangulia wazo. Kwa CCM kila kitu ni hewa.
Wanachama hewa, wapigakura hewa, viongozi hewa, waajiriwa hewa, ahadi hewa.
Kwa CCM, na Tanzania, kuwezekana lisilowezekana na kutowezekana linalowezekana ndio mtindo wa maisha.
 
Back
Top Bottom