Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Nimeona kwenye gazeti la sema usikike la tar 28, ukurasa wa kwanza. Limeandikwa, "Vituko uchaguzi wa ccm: Mwanachama aliyekufa na kusahaulika achaguliwa mwenyekiti wa ccm Dar". Nimebaki najiuliza, swala la kukosa wanachama wa kugombea uongozi wa shina (mabalozi) limefikia hapa!? Kweli ccm imekwisha vibaya!