Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Labda awatangazie wanachadema sio watz kwani hayatatambulika
Marando ni mgonjwa...
Labda awatangazie wanachadema sio watz kwani hayatatambulika
Hayo mamlaka ya kutangaza matokeo atayapata wapi?
Pro - Chadema wakati mwingine jaribuni kutumia akili zenu.
Hivi Marando akimtangaza Dr.Slaa ndiyo mshindi wa urais mtakimbilia ikulu siyo.
Hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria namshangaa sana Marando ni mwanasheria lakini anataka kuwaadaa wafuasi wa Chadema.
Pro - Chadema wakati mwingine jaribuni kutumia akili zenu.
Hivi Marando akimtangaza Dr.Slaa ndiyo mshindi wa urais mtakimbilia ikulu siyo.
Hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria namshangaa sana Marando ni mwanasheria lakini anataka kuwaadaa wafuasi wa Chadema.
Sijaisoma hiyo sheria, je Tume ya Uchaguzi kabla ya kutangaza hizo takwimu itabidi zihakikiwe na Ofisi ya Takwimu ya Taifa?
kuelekea uchaguzi mkuu c.c.m yaongeza misukule kwenye mitandao ya kijamiii#Nafikiri ataka kwenda jela,Kwani yeye ni Mwenyekiti wa tume?Hapo ndipo wapinzani wanapopingana na wanamabadiliko.
utamwamini siku akitangaza matekeo ya ushindi wa kishindo wa dk.slaa.mimi nimemuweka marando kwenye kundi lisilotaka mageuzi tz simwamini hata kidogo.
Ameshanusa harufu ya kushindwa kaona bora atafute pakuanzishia fujo.anamawazo ya kijinga unakua na chama kina washauri kama hawa sasa hili si tatizo,huwezi kutegemea mtu msomi kama marando anaongea upuuzi kama huu lakini mtu kama marando anapo jichanganya na watu kama kina mbowe tufikiri ataongea nn zaidi ya haya .kusema atatangaza matokea mapema ni upuuzinkuliko upuuzi wenyewe
marando ni mgonjwa...
Mrembo wa JF naye eti kajenga hoja.Yaani wewe kila unachoandika ni uharo mtupu hivi vitu vinavyohitaji high reasoning capacity huviwezi nenda kapige madufu tu.....
kuelekea uchaguzi mkuu c.c.m yaongeza misukule kwenye mitandao ya kijamiii#
mkuu, tuache upotoshaji kuhusu kiini macho cha eti Lyatonga yuko upinzani.
huyu mtu hakuwahi kuwa kwenye upinzani hata siku moja. hakuwahi kuondoka CCM na hadi leo hii yupo huko.