Itategeme atatangaza nini?NI habari ingine ya mashaka.Wakili Maarufu na shushu aliyebobea tangu enzi za Mwalimu JK Nyerere amesema mwaka huu atajitoa Muhanga kutangaza matokea ya Urais kabla ya matokeo hayo kuchakachuliwa. Hii ni ishara ya wazi kuwa Watanzania mwaka huu hawatakubali kuburuzwa na tume ya watawala. Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima
Wakili Maarufu na shushu aliyebobea tangu enzi za Mwalimu JK Nyerere amesema mwaka huu atajitoa Muhanga kutangaza matokea ya Urais kabla ya matokeo hayo kuchakachuliwa. Hii ni ishara ya wazi kuwa Watanzania mwaka huu hawatakubali kuburuzwa na tume ya watawala.
Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima
Unatia kinyaa.....
Kuna watu walishinda uchaguzi wa serekali za mitaa, hawakutangazwa wala kuapishwa mpaka raia wakaamua kuwaapisha wenyewe kisheria,
hii unaisemeaje??/?
kwa uchaguzi unaokuja tumeisha ona mifano, ninadhani hii itatoka kwa wabunge na maeneo mengine, maana mnakuwa na kigugumizi, kutangaza ushindi ukiwa wa upande wa pili.
Kauli ya Mabere Marando kuwa atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka wazi mpango wa UKAWA wa kujitangazia ushindi hata kama ikitokea kuwa umoja huo haujashinda uchaguzi mkuu wa oktoba, 2015 na kutimiza azma yao ya nchi hii kutokutawalika hivyo inapaswa kulaaniwa na wapenda amani nchini kote.
Kauli ya Mabere Marando kuwa atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka wazi mpango wa UKAWA wa kujitangazia ushindi hata kama ikitokea kuwa umoja huo haujashinda uchaguzi mkuu wa oktoba, 2015 na kutimiza azma yao ya nchi hii kutokutawalika hivyo inapaswa kulaaniwa na wapenda amani nchini kote.
Mbona umepanic blaza, punguza povu doz ikuingie mzeeKauli ya Mabere Marando kuwa atatangaza matokeo ya uchaguzi kabla ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeweka wazi mpango wa UKAWA wa kujitangazia ushindi hata kama ikitokea kuwa umoja huo haujashinda uchaguzi mkuu wa oktoba, 2015 na kutimiza azma yao ya nchi hii kutokutawalika hivyo inapaswa kulaaniwa na wapenda amani nchini kote.