MALUNGU
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 250
- 97
Wakili Maarufu na shushu aliyebobea tangu enzi za Mwalimu JK Nyerere amesema mwaka huu atajitoa Muhanga kutangaza matokea ya Urais kabla ya matokeo hayo kuchakachuliwa. Hii ni ishara ya wazi kuwa Watanzania mwaka huu hawatakubali kuburuzwa na tume ya watawala.
Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima
Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima