mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 919
Kama mbatia aliyejengewa nyumba kule kwao na mnowe kupewa 5.9b.Mliopata mgao ndio mnailazimisha ichuje......hii ishu tunayo hadi october
Kama mbatia aliyejengewa nyumba kule kwao na mnowe kupewa 5.9b.Mliopata mgao ndio mnailazimisha ichuje......hii ishu tunayo hadi october
We mlinzi wa zitto mnona unaongea pumba sana.Wezio wamebadilisha password
w.j.malecela njaaa itakuuaaaaa
nani achague boga hiliWewe ndiye mbunge wa mtera mtarajiwa!!! Balaa kabisa.
Mkuu, hakika i enishangaza sana. Yaani Profesa mzima anaiga tabia za wavuta bangi akina Lema, Sugu, Wenje na Nassari!
Unaibu waziri wa Bi mkubwa usikupe jeuri...- Wewe umechaguliwa lini kuwa msemaji wa mtaani? hahahahahah kumbe unajipendekeza so unadhani wengine wote ni kama wewe unaona unajivua nguo mwenyewe
Le Mutuz
Unamchekea nano sasa- Habari imeandikwa na Saeed Kubena kwa niaba ya nani? hahahahahahaha
Le Mutuz
Mkuu umesema kweli, vistory vya kuungaunga tuu ili mradi Rais achafuliwe. Marando aliambiwa athibitishe ataweza?
Hivi hujiulizi raisi wa nchi mwenye mamlaka ya kuagiza karibu kila kitu anashindwa kumshitaki Marando?
Nasema hivi kwasababu najua hawatathubutu kumshitaki.
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!
Le Mutuz
Hakuna jinsi ya kusafisha tuhuma hizi zinazokabili Ikulu yetu zaidi ya kuwekwa wazi walionufaika na mgao wa pesa hizi za umma. Kuwaficha waliopata pesa kupitia Stanbic bank ni kuzidisha ukweli wa tuhuma zinazomkabili Rais na Ikulu kwa ujumla. Sakata hili halijaisha kwakweli,mambo bado ni mazito.
Si rahisi kiasi hicho. Singa singa ni mwekezaji kama walivyo wawekezaji wengineNajiulize serikali inashindwaje, kumakamata singasinga( Mmiliki wa PAP), inashindwaje kuiagiza Stanibic kutoa orodha ya wanufaika? Kuna siri nzito hapo.
Jk chapa kazi mkuu hawa wahuni hawana jipya wapotezee unajukumu la kutumikia watanzania siyo kujibu wahuni.
Si rahisi kiasi hicho. Singa singa ni mwekezaji kama walivyo wawekezaji wengine
Ila Familia ya Padre Mzinifu ndo si shida?
Kwamara ya kwanza niliposimama na kupaza sauti kuwa familia ya Rais yaani kikwete mwenyewe ndio wamiliki wa PAP kupitia Simba Trust. Lakini watu walinipinga na kunidhihaki,
Sasa sauti ya wengi inasikika.
I have been daying the same from day one of my comments on this saga.
Bongo watu wanamuogopa sana rais.
JK mwenyewe amenukuliwa akisema keamba ana shaka akistaafu atashitakiwa.