kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Ila Familia ya Padre Mzinifu ndo si shida?
Mkuu, umezoea kuandika kwa kufurahisha watu nini?
Mkuu umesema kweli, vistory vya kuungaunga tuu ili mradi Rais achafuliwe. Marando aliambiwa athibitishe ataweza?
Watu waliozoea kunywa gongo na viroba utawajua tu kwa comments zao
Ingekuwa Amri yangu LIPUMBA asingeingia uraiani mpaka baada ya mwaka.
sema hawa watawala sasa hivi wana huruma sana, mtu anavuruga Amani ya Nchi na bado anaachiwa kwa dhamana?
Mkuu, hakika hawezi na hatakuja kuweza. Marando naye ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine waliojazana ndani ya ukawa
Mnatetea hata visivyotakiwa kutetewa NYAMBAFU!