Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Aiseee I wish nimuone anafananaje huyo dada. Uwii kala block kote. Wanawake weusi kumbe soko lao dogo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
kwani wewe ni jini......?
 
Aiseee I wish nimuone anafananaje huyo dada. Uwii kala block kote. Wanawake weusi kumbe soko lao dogo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Ha ha ha ha haaaa..
Huyo ni mweusi, sio sana, ila sasa afya yake mbovu sana, kakongoroka, plus alivyokaa kaa, amekubuhu ktk industry ya kujiuza sana, ukimuona tu unakwepesha macho...!! alafu kaweka hadi makope ya kichina..!! Amekorogeka sana aiseee...!!

But mm demu akiwa mweusi sitaki kabisa.. hata awe vipi, mm mwenyewe mweupee, why nimuone black..? sitaki, ndio moyo wangu unanituma hivyo..!!
 
Sasa si mtatoa mzungu huyo mtoto. Aisee ngoja nijiangalie vzr kwa kioo kama mie mweupe nilete proposal kwako PM
 
Ua very cruel man!
 
Aiseee I wish nimuone anafananaje huyo dada. Uwii kala block kote. Wanawake weusi kumbe soko lao dogo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mie mweusi ninayejipenda kukataliwa na wachache hakunifanye ninunue jiki, akaaaa
 
Hongera sijataka hata mzungu, wala kutamani na mpk leo hii sijawahi hata kuvua pichu kwa mwanamume mweupe hata mtz mwenye rangi nyeupe so i understand you and feel you 100%.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…