Ndivyo nilivyofanya mimi. Hapa ana ujumbe kuwa Umati huu ni kwa kuwa fulani ni maarufu sana, anapendwa sana, anafaa sana n.k.
Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.
Ukiulizwa swali, angalia hilo swali limebeba ujumbe gani, usiangalie tu unaulizwa nini. Ndivyo nilivyofanya mimi. Hapa ana ujumbe kuwa Umati huu ni kwa kuwa fulani ni maarufu sana, anapendwa sana, anafaa sana n.k. Kama nimesoma au sikusoma usijali, angalia hoja tu. Ni katika kuchangia na kupeana facts na kuelimishana. Usipoelimika wewe, wapo watakaoambulia chochote katika mchango huu. Ahsante.
Aahhh kumbe ni chuki tu binafsi, hakuna zaidi.
Go to HELL. Huna shukrani. Hata kama kuna kasoro za kimaendeleo, nchi gani isiyokuwa na kasoro? unaangalia makosa tu huangalii mafanikio. Au ulinyimwa cheo.
Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.
Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!
Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.
Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.
Hata ukisema wamiliki wa Dowans huwajui, hujui kama bei ya sukari imepanda mpaka uunde tume, unaweza kujaza watu kama hivi.Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.
Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!
Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.
Naona sasa mmeamua kumuunga mkono Rais wenu mkwere kwenye kuponda juhudi za nyerere!
Mwanza nadhani kama sijakosea kipindi cha lala salama ambapo ilibidi JK arudi tena!Hapa wapi mkuu!!
I hate you too............
Hata ukisema wamiliki wa Dowans huwajui, hujui kama bei ya sukari imepanda mpaka uunde tume, unaweza kujaza watu kama hivi.
Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.
Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!
Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.