Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

TUNATUBU WATANZANIA WOTE MWENYE ENZI MUNGU ATUREHEMU MILELE YOTE AMEN
 
dah lazima Erasto ulichepuka nae....una uchungu sana hizo arv imezijuaje kama nawe hutumii? Pole sana dada
 
Mie bado naendelea kuamini huyu mm simon yuko framed na watu wauaji aonekane kama ni yeye anahusika.Swali kubwa la msingi polisi wanatakiwa wajiulize afanye haya mauaji ili apate faida gani haswa?? Something is not right somewhere, something fishy.
Mkuu ulichosema ndio ukweli huyu mama anachezeshwa mchezo usiomhusu kabisa. Lipo shinikizo kutoka sehemu Fulani. Ninachohisi ni kwamba kuna taasisi imeahidiwa pasu kwa pasu iwapo watafanikisha hii mission.
 
Ukifuatlia sana na narudia tena aslimia Zaidi ya 90 huyo mama sioni sababu ya yeye kumua Wifi yake, mali ni zake alishashinda na kesi hakamuue kwa sababu gani haswa?
Kisheria alishinda na ndugu hawakuridhika na ushindi huo,

Wakawa wanataka kujua chanzo cha kifo cha kaka yao (erasto) na aneth ndo alikuwa mstar wa mbele kwa kila hatua kujua kwa nini kakake aliuwa na wauaji wako wapi?

Mama simoni ndiye aliyemshaur msichana wa kazi wa aneth siku nyingi atoroke na siku ndo akamsisitiza kabisa (kwa nini alifanya hivo atayaeleza huko polis)

Polis wanaconnect dots ndo wanamchukua hatua

There is a lot to come,stay tuned

Ukiangalia ki juu juu ngumu kuelewa mkuu (use the so called critical thinking).
 
Are sure kuwa ni mali!

Kwa nini msichana wa kazi aondolewe halafu mauaji yafanyike kwa mtu aliyekuwa mbele kuwajua wauaji wa kakake?

Kwa nini amshaur msichana wa kazi aondoke (??????????????)
 
Mary unaukaribu wowote na mama saimon?? n kama unao jitahidi kuwaleza watu unachokijua kuhusu mama saimon mana yawezekana wanayoongea watu wengine humu ndani ni upotoshaji,labda utusaidie wewe
Nawasilisha kwako!!
Kama sio mdogo wake ni dada yake! Sio kwa povu hilo
 
Are sure kuwa ni mali!

Kwa nini msichana wa kazi aondolewe halafu mauaji yafanyike kwa mtu aliyekuwa mbele kuwajua wauaji wa kakake?

Kwa nini amshaur msichana wa kazi aondoke (??????????????)
Uyo uliemnukuu katoa maelezo angalau yanajenga taswira fulani hivi ingawa amekiri kuwa na uhusiano wa karibu na huyo mama.
Ninachokiona kwako ni kutolea maelezo kipande kidogo sana ambacho alishakielezea hapo mwanzo jinsi ilivyokuwa na nina uhakika kabadili baadhi ya mitazamo ya watu humu kuhus hiyo kesi.
Kukushauri tu pitia comments zake zote alaf umuuluze kuabzia huko sio kama unavyofanya sasa.
Ushauri tu
 
Yes nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia
Kwa nini alimshaur msichana wa kazi aondoke? Kwa nini hataki kujua wauaji wa mme wake? Tuanzie hapo
 
Siamini kama huu uzi una page zote izi
Hii familia kumbe ilikuwa maarufu ivi....
Sijui ni utajiri wa marehemu erasto... Au
Uzuri wa anathe... Au
Aina ya vifo vililivyotokea
 
Kama mwanaye halafu hajui hata nyumba anayoishi iko wapi?
 
Niftah usihofu tunaitaji mwanga tu NA kusaidia mawazoyako KWENYE HII kesi...nimejaribu kuangalia watoa hoja we n mtumuhimusana kama awajui
Punguzeni kutisha wenzenu jamani... yani humu kila mtu anajifanya usalama, usalama huo vepeeee...???
 
Ni kweli kabisa, tabia ni hulka ya mtu na sio kabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…