Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mr Isis kuna watu wanakuwa na roho ya kujisukuma yaani utafikiri roho zao zimekwama kwenye tope zito hadi wanashindwa wanashindwa kuzitoa zilipokwama,kwamfano km ulikuwa na kipato cha shi/100000 kwa mwezi lazima mapato yako ya asilimia 25 yatahalipika baada ya kupokea hilo laki,nahata ukiwa na milioni moja asilimia itapanda tu,na unakuta mtu anaanza kuwa na roho ya kutawaliwa na pesa sio kutawala pesa,sasa hapo unakuta mtu kwakuwa pesa iko km alikuwa anakula chakula cha nyumbani sasa anahamia hotelini na raund za hoteli nitafauti na za geto, na akirudi home lazima abague chakula kisa pesa,amezoea chakula chenye sahani sita,mfano .pirau ya mbuzi na kachumbali kwa mbali,na ukirudi geto pirau hiyo hiyo inapikwa na mwezako lkn unapewa na chai ya maziwa so unaanza kugomba kachumbali iko wapi,na hapo ndipo amni inaaza kutoeka kwa mbaaali! Lkn kwakuwa pesa iko km naona poa,tafautisha hoteli unakula kwanza ndipo ulipe na nyumbani unatoa kwanza ndo ule,lkn ukichanhanya tu hiyo pesa yako lzma iwe na ugomvi,je hapo hujatawaliwa na pesa?kwasbbu matumizi hujui unaiga! Lzma upate taabu na asie mwelewa atasema Shetani! Na km umepata 1000% ukatoa 10% fungu la kumi hiyo pesa yako huoni ina ulizi mkubwa na mipango dhabiti lazima uwe nayo!
 
Sasa kama sio kukogombania mali ni nini, sika mmewe uumesema ameandika mke wake akitaka kuolewa aachie mali Sasa si achie akaolewwe aanze moja
 
Kuna mtu amewahi kuniambia mimi ni mwalimu mzuri sana.
Tena akanipiga msasa wa mambo ya kiintelijensia.
Hivyo hapo nimeelezea kwa kutumia taaluma mbili...ualimu na intejensia.

Heshima zikufikie popote ulipo Mdakuzi
Na ile fani ya madera na abaya?
 
Sio dadake mkewake bana ni dadazake wote erasto hadi mamasaimoni akapeleka malalamiko ukweni lkn jibu alilopewa ndilo linamtesa hadi leo ,kwaujumla ushilikina ulitawala saana
 
kwani sg ni nini si majina ya watoto simon and gloria?
Mkuu upo sahihi kabisa, katika mali za weka majina ya watoto.

Robert kiyosaki anasema "rich people don't put anything under your name" this is financial IQ.
 
Hakuna viashiria vyovyote alivyokutwa navyo mpaka hao police hawasemi chochote na wamechukua magari yake 2 sasa magari yake na mauwaji yanahusiana na nn
Rafiki..Upelelezi ni Fani...kesi kama hizo watu waliofaulu vzr kwenye mambo ya Upelelezi ndipo wanapochukulia Credit hivi unajua wapelelezi wanaweza kufatilia hata ganda la MUWA ulilokula mwaka Jana lengo nikuunganisha dots....Kwahiyo usishangae kuchukuliwa magari mawaili...kama hahusiki ataachiwa tu....sema tatizo la upelelezi hakuna muda maalum wakukaa ndani sababu kila jiwe lazima liinuliwe kujua ukweli ulipo
 
Nazidi kupata sababu za kuto oa

Wakuu endeleeni kuchochea moto mpaka niwake tamaa kubwa ya kuto oa.
Oa, ila weka majina ya watoto katika mali zako. Hapa utakuwa mpiga stop mke ambaye ni golddigger.
 
Hapa kama kuna ukweli maana umefunguka sana...!!
 
Kuhusu Ole Makoo siyo madini yake yaliyomtoa Erasto. Sipendi kuzungumzia issues za ndani za watu ila ili kuweka kumbukumbu ntaongea ninalolifahamu.

Erasto alikuwa anatoka Arusha alipofika kona ya Kia kwenda Mirerani akamkuta hapo mmasai akiomba lift. Akampa wakaenda wakiongea, wakaelewana kuwa Erasto atampa mtaji Ole Makoo wa kununua rough Tanzanite na akafanya hivyo. Ole makoo akawa ameibuka kuanza kupata utajiri akiwa kama nyoka wa Erasto.

Erasto akawa ameshajenga guest house mirerani ndipo Ole Makoo akawa anafadhili mgodi wa Simon Meshack, madini yakatoka Erasto akapata japo cyo kivile. Kilichompa utajiri mkubwa ni wafanyakazi wa tanzanite one kuanzia miaka ya 2000, walikuwa wakiuza madini at a very cheap price. Wafanya kazi walikuwa wanaiba production let say nusu kiroba cha tanzanite, halafu hawajui bei. Mtu anauza jiwe kg moja kwa milioni 30 au 50...utaacha kutajirika ukizingatia yeye Erasto aliikamata hiyo channel vizuri?

Kuhusu mawe ya bomu, Erasto alifaidi kidogo sana na hapa ndipo palizaa ugomvi wake na Chusa. Mawe ya bomu aliyopata mengi ni kuanzia 2012-2013 almost mwaka mmoja na miezi michache kabla ya kifo chake. Na wakati huu alishakuwa mbali kiuchumi.
 
Mkuu kutembea na Dadaake ni Kashfa...hata kama nikweli asingekukubalia...kwa sisi tunaojua habari za matajiri hilo lakufanya maagano sio geni...kuna wanaoua..watu kwaajili ya Kafara..wengine wanabaka watoto...nk...kwahiyo kuongea nae nakukuthibitishia kuwa sikweli ilitakiwa ujiongekeze
 
Watoto baadhi wapo Australia wanasoma na wanaishi kwa dada yao yule aliyetoaga speech kwenye msiba, Esther Msuya. Kama waliwakana kuwa hawatawasaidia watoto wa kaka yao inakuwaje wapo nao huko?
 
Mkuu upo sahihi kabisa, katika mali za weka majina ya watoto.

Robert kiyosaki anasema "rich people don't put anything under your name" this is financial IQ.
kabisaaa maana mambo yakishaharibika watoto ndo wanaumia mimi mpaka vitanda na magodoro naandika jina la mtoto wangu maana dunia hii imevaa mlegezo........... hata mie babangu alivyofariki ilikuwaga mbinde kama kama sio mamangu kuwa ngangari tungekuwa watoto wa mitaani na mbaya zaidi walitaka kumrithi na mama wapare swain sana, eti mama arithiwe na mwingine na sisi watoto kila mtoto aondoke na mtu na mali.... hahaha mamangu sitaacha kumshukuru alisimama kama kifaru cha kivita hakuna aliyegusa hata kijiko cha chai waliishia kumlaani na laana zao wala hazijamfikia ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…