Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya


Ukimwangalia sura yake wala uwezi kuamini kama anaweza kuwa mtu katiri kiasi hicho!!! Ila wauuaji kuna kitu utaeahiso tu - ebu angalia sura yake wakati wa kuaga maiti - aonyeshi majonzi hata kidogo unaweza kufikiri yupo kwenye kitchen PARTY!!
 

Aiseee!!

Wewe nawe ni mwanasheria?
 
Duuu! Ww ni mpelelezi mzuri, au umo? - Ubarikiwe sana.
 
Wenye akili kubwa hufanyia kazi kila kiashiria,hata kile ambacho kwa akili za kawaida ni cha kupuuzwa.
Nashukuru umenielewa mkuu...
Wapo wapumbavu wasiyoijua nguvu ya viashiria,achana nao.
Sio kila mtu amejaaliwa karama ya kuitumia akili aliyonayo.
Hakika tunatofautiana sana ktk matumizi ya akili.
 
Duuu! Hii nayo kali! Nimeipenda lakini punguza maneno makali Mkuu, yanayokaribia matusi, hoja zako ni mali. (SAMAHANI SANA MKUU).
 
Duuu! Hii nayo kali! Nimeipenda lakini punguza maneno makali Mkuu, yanayokaribia matusi, hoja zako ni mali. (SAMAHANI SANA MKUU).
Nimeandika kwa kutumia busara sana mkuu,mhusika ataelewa kwa nini nimemuambia vile.
Anyways...asubuhi njema.
 
Yes nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia

Ok ilikuwa wazi.

Sasa humu utataka kupiga kichwa chako na kuumia, sababu namba moja umeingia kwa kuponda familia ya Erasto yaani nduguz.

Kaa usubiri polisi wamuachie huru kama si muuaji.

Humu utaugua....na usitetee kama ulikuwa haufatani nae 24/7
 
Karibu jf kumtetea mke wa marehemu. Unaandika kwa kuonyesha umekunwa haswa... Si msubiri kama sio yeye watamuachia. Wewe utakuwa mmoja wa watuma msg kwa kimwambi.

Zuri...what's good?

Unasema wamsubiri kama siyo yeye watamwachia...well, kwa upande mmoja hiyo ni kweli lakini kwa upande mwingine si rahisi.

Hapa tupo kwenye court of public opinion na ndo maana unaona wengine tayari washatoa mikataa yao na wengine wanashindana kutoa nadharia njama kwa kadri ya uwezo wa imaginations zao.

Kwa hiyo acha tu huyo dada naye atoe utetezi wake.

Kwa kawaida kiwango cha ithibati katika mahakama ya maoni ya watu ni kutajwa tu kwa namna moja ma nyingine.

Lakini kwenye mahakama ya sheria kiwango cha ithibati ni tofauti kabisa.
 
Hakuna viashiria vyovyote alivyokutwa navyo mpaka hao police hawasemi chochote na wamechukua magari yake 2 sasa magari yake na mauwaji yanahusiana na nn

Duh nilifikiri unayajua hata kadunchu ya uchunguzi..kumbe duuuuuuuu...unalilia magari mawili...si ilibidi uandike kama hawatakuta kitu...unatetea hata hujui mengi yanaendaje... Nimejikuta nacheka
 
Wamarekani wana msemo mbaya unasema: "once a woman kills, she becomes a serial killer"
 

Umesema kabla mama saimoni ndio kamlea marehemu Aneth hadi anaolewa, imekuwaje hakujua lolote baada ya kuolewa kuhusu maisha yake? Kwa nini hakutaka kujua?

na alivyoshughulikia harusi kama vile mama yake..nauliza sababu umesema ndio ni mdogo kwa familia ya akina Erasto alikuwa baby wa familia. Nawe si ulimjua, ulienda msibani? Humu wanasema mama saimoni hakwenda kumzika wifi/mwanae ulivyodai?
 


Na nyie hata wewe ndugu wa mama saimoni mnafaidi, hakuna mazuri kweli unaweza ongelea ya ndugu wa Erasto?

Mara anetj hawezi kuuliwa na mama sai, sababu alimlea vizuri ka mwanawe...halafu unakuja ooooh ndugu wote sijui nini..hata aneth haumtaji kabisa tena.

Nimeanza kupata picha ya mali, inawazingua upande wenu pia. Huwezi kuponda fam ya Erasto na mama yake na wanae kihivi...Eti?

Emdelea kuandika raha kukusoma
 
Hayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anathe


Duh unazidi kukata mbuga, kama mliyajua haya unayodai...kwanini hamkumuondoa mama saimoni?... Kwani dumba sijui nini hazikumpata ndani ya nyumba au kitandani...iweje hasishiriki hata msiba wa wifi/mwanae mlezi... Ikampatie huko msibani? Kwa mumewe na pichani alimpapasa ka vile oooh kumbe walikumaliza lweli...na kwa jeneza oooh ka vile yaishe nile zangu...nakutania nawe ucheke kidogo.
 
Asante kwa picha inatia uchungu. ....èhhhh MOLA wangu niepushe na majanga kama haya. ....nifundishe nipitite katika kweli yako mimi na kizazi changu na TANZANIA yangu kwa ujumla. ...AMEN RA
 

Ni kweli atoe utetezi atakavyo uwanja ni wake,
na maswali tumuulize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…