yule ni dikteta halafu ana dharau, anataka akisema yeye hata kama amekosea watu wafuate kwa kutii tu
Toa mfano
yule ni dikteta halafu ana dharau, anataka akisema yeye hata kama amekosea watu wafuate kwa kutii tu
mficha maradhi kifo kitamuumbuabila shaka kusoma unajua...ila kuelewa ndio shida!
In short watu ninaowazungumzia...utaona kuna mahali zitafuatana komenti zake tuuu kama tano....halafu tena unakuja kukutana nazo mbele tatu consecutive...nakadhalika....kwa heri!
Mkuu Maringo, naamini kwa wiki tatu ulizokuwemo rasmi humu jukwaani, wewe sio mgeni na JF!, unapandisha thread kuhoji integrity ya Dr?!.
Wee subiria tuu, utajibiwa ipasavyo!.
Pasco.
Hivi kwa nini SLAA akiguswa watu huambiwa wana akili ndogo? Huku si kutowatendea haki watanzania?akili ndogo hujadili watu na akili kubwa hujadili hoja. Jipime na uchukue hatua!!!!
ukimkimbiza kichaa eti kachukua nguo zako wakati unaoga nani atkua kichaaakili ndogo hujadili watu na akili kubwa hujadili hoja. Jipime na uchukue hatua!!!!
Wadau wameshamshauri sana Dr. Slaa astaafu ila Josephine ana ndoto za kuwa first lady ndio maana anamlazimisha Dr. Slaa kuendelea na siasa.
Kwahiyo anachopigania Dr. Slaa sasa hivi ni ndoto za Josephine za kuwa first lady.
Huyu katibu mkuu ana uzoefu na uongozi wa kanisa niyo kwenye Vayma vya siasa, sasa kama mambo madogo kama hayo yanamshinda itakuaje huo urais?
udhaifu mwingine ni kupenda penda wanawake pamoja na wake za watu
kuwa serious na mijadala ya humu JF , hatukuja humu kutaniana wewe, ujinga wenu wa kutukana kamwe hakutawapeleka kokote , watanzania hawajafikia kuwa mataahira kiasi hicho cha kusoma upuuzi kama huu, puuuu, pwwaa, MODs watu wa aina hii wasiruhusiwe kuwemo humu.bora mapungufu ya Slaaa kuliko ya Kinana haisee, Jamaa anapiga Risasi Tembo kama ana akili yani ni Puuuuuuuuu! Mala Paaaaaaa!.
Kinana analazimishwa na nani kuendelea kuua tembo wetu?Wadau wameshamshauri sana Dr. Slaa astaafu ila Josephine ana ndoto za kuwa first lady ndio maana anamlazimisha Dr. Slaa kuendelea na siasa.
Hivi pAsco tatizo ni kuhoji au tatizo ni unakuja na hoja gani na vithibitisho gani?
Naamini vijana wengi ni waelewa endapo utakuja na hoja iliyoshiba kwa vyovyote wataipokea lakini kama unakuja na udaku tena udaku mwepesi tegemea aibu.
...weka na mapungufu yako. Wewe umeshindwa hata kuwa diwani inamaana katika fani za akina slaa upungufu wako umekuficha porini kabisa...