Mapungufu katika Wimbo wa Taifa la Tanzania

Sikubaliani na wewe. Yawezekana kwa nyakati fulani tumechikuzwa na baadhi ya viongozi ambao pengine hawatendi haki kama ilivyotarajiwa. Lakini kumbuka siku zote hatutapata viongozi wabaya tu; kuna nyakati pia watainuka wazuri. Je, wazuri pia tusiwaombee? Kumbuka wimbo wa taifa hudumu vizazi na vizazi labda uniambie tubadili kila mwaka au kila baada ya uchaguzi. Labda ingesomeka hivi:

WABARIKI VIONGOZI WAITUMIKIAO NCHI YETU KWA MOYO MNYOFU NA UZALENDO

Nawasilisha.

Dudus,,
Well said, naunga mkono maneno yako kwamba si kila wakati tutapata viongozi wabaya. Vipi siku Dr. Slaa atakapokuwa Rais na Mbowe waziri mkuu?? Hawa pia tusiwaombee?
 
Mungu ametubarikia, Unguja na Pemba yote.
Sote tunashangillia, Jamhuri kutuletea.
Mungu ametubarikia, Jamhuri kutuletea
 
Kwa nini Katiba haimtaji Mungu? Wakati Wimbo wa Taifa wenye maneno 52 tu lakini unamtaja Mungu mara 3!

Bado wako Watanzania wanaopinga katiba isitaje Mungu kwa dhana ya kwamba watanzania tuna dini lakini Serikali haina dini. Sasa mbona kwenye wimbo wa taifa tunamtaja. Imekaaje hii!?

Nadhani tunajicontradict sana!

Great thinkers hebu tusaidiane kulitafakari hili!
 
Kama kuna wimbo ukipigwa au nikiimba najisikia amani ni wimbo wa taifa wa Tanzania !nauliza nani alishiriki kuutunga wimbo wa taifa letu tukufu!
 
eee vijanaaaa
vijanaaa, vijanaaa - vijanaaa tayari
kulitumia
taifa - taifa - taifa
kulitumika
taifa - taifa - tanzania.


Ngeleja anaujua huu wimbo? naye si bado kijana au?


 
eee vijanaaaavijanaaa, vijanaaa - vijanaaa tayarikulitumiataifa - taifa - taifakulitumikataifa - taifa - tanzania.Ngeleja anaujua huu wimbo? naye si bado kijana au?
huu wimbo unaimbwa kipindi gani mkuu
 
sisi tunataka kuwasha mwenge tunataka kuwasha mwengeee, na kuuweka juu ya mlima, mlima kilimanjaroo, kuwasha mwenge........



wanaoukumbuka vidole ju!
 
eee vijanaaaavijanaaa, vijanaaa - vijanaaa tayarikulitumiataifa - taifa - taifakulitumikataifa - taifa - tanzania.Ngeleja anaujua huu wimbo? naye si bado kijana au?
Umenikumbusha mbalii...Ilikua primary mwaka 1991 kuna shule nilisoma tulikua tunaimba mstarini jioni kabla hatujatawanyika.Nikahamia shule ingine ndo sikuusikia tena!
 
sisi tunataka kuwasha mwenge tunataka kuwasha mwengeee, na kuuweka juu ya mlima, mlima kilimanjaroo, kuwasha mwenge........wanaoukumbuka vidole ju!
naukumbuka haswaa pale kibosho girls wakati nakimbia mchakamchaka......kuwasha mwenge kuwasha mwenge nakuuweka kilimanjaro
 
Tanganyika nakupenda kwa moyo wote. Huo ndio uwe wimbo wa taifa. Co ule uliotolewa kanisani.
 
Mmenikumbusha mbaaaaaaaaaaali sana wakti nikiwa Kuruta pale JKT Ruvu enzi za Lt Col Urio CO, Meja Chote, Meja Dr Omary Bila kuwasahau makamanda wangu akina mwambingu, Kisahani, Nyundo, chenga, Kibuyu, Sirmeja, Basekana na Urasa.

Wimbo wa Jua lile litelemke mama.
Nyota nazo zitelemke mama,
aya ya ya iya iya mama.
 
Tazama ramani utaona nchi nzuri yenye mito na mabondemengi yanafaka!X2.Nasema kwa kinywa na kufikiri! Nchi hii mashuhuri huitwa Tanzania!.Utumwa wa nchi nyerere ameukomesha!Majira yetu haya yange kuwaje sasa!Utumwa wa nchi nyerere ameukomesha!X2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom